Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Vijana wengi hasa graduates huwaza kuwa wakipata kazi na kulipwa mshahara watakuwa matajiri. Ndugu kama una mawazo hayo yafute.Huwezi kuwa tajiri kwa kuajiriwa na kulipwa shilingi laki sita...
6 Reactions
21 Replies
7K Views
Nawezaje kuhakikisha kupitia mtandao kama jina la kampuni ninayotaka kuisajili halijasajiliwa bado na Brela?
0 Reactions
11 Replies
19K Views
Moja ya siri zinazoweza kukusaidia kufanikiwa katika biashara ni kuweza kujifunza kutoka kwa wafanyabiashara Waliofanikiwa. Ni busara na vyema sana kuangalia waliofanikiwa katika biashara...
3 Reactions
14 Replies
8K Views
#TUNAANGAZA_FURSA AJIRA YANGU BUSINESS PLAN COMPETITION. Kuhusu Ajira yangu Business Plan Competition: “Ajira Yangu Business Plan Competition” ni mpango mkakati wa kutatua changamoto za ajira...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral EURUSD went upwards on Monday and Tuesday, topping at 1.1615. Since then, price has come down by over 200 pips, closing at...
0 Reactions
0 Replies
605 Views
Wanjamii, salaam. Nashuhudia minenguo ya matangazo mengi ya biashara hasa kwenye haya magari matangazo hapa mkabala na barabara ya Moro hapa magomeni. Kinachoniacha sinto ni minenguo kutohusika...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
A Crucial Question from All Traders A positive expectancy method makes you risk less than you plan to win; reverse the logic for a negative expectancy method. Therefore, a negative expectancy...
0 Reactions
1 Replies
674 Views
Kuna siku nilikuwa naongea na mtu akaniambia uchumi wa tanzania umeshikiliwa na watu kutoka nje ya tanzania yaani 70% ya uchumi wa tanzania ndo umebebwa na ambao sio ws tz sasa mm sijaelewa...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Mimi ni kijana, naishi Dar,nina digrii nataka kuanzisha biashara ya vitafunwa vya asili yaan mihogo, magimbi, viazi, ndizi n.k vya kuchemsha tu. Tatizo ni mtaji wa kuanzisha biashara. Natafuta...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Starting Friday, 15 April, 2016, all Emirates customers travelling in any of the airline’s three cabin classes on outbound African flights will benefit from the increase in free baggage allowance...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu naomba kupata hali ilivyo katika biashara ya kuuza unga wa mahindi. 1.Hasara na faida zake. 2.Changamoto zake 3.soko 4.Aina ya mahindi mazuri kununua. 5.Upatikanaji wa mashine za kukoboa...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau mlio na uelewa wa mambo haya naomba ufafanuzi wa kuagiza used engine za Magari kutoka Japan au Dubai kwa kuzingatia bei, usafirishaji, kodi, ubora, upatikanaji, changamoto na kampuni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu naomba kufahamishwa ni wapi katika jiji la Nairobi naweza pata mtumba classic(grade A) kwa bei ya jumla?Au kama kuna anayefanya biashara hiyo tuwasiliane kwa pm tafadhali. Shukrani sana.
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nimedhamiria kuanza biashara ya bodaboda .............nipo maeneo yaliyochangamka kiasi bodaboda zipo lakini nyingi SAN LG,SUN LG,BETTER, na jamii nyingine zinazofanana na hizo .....nawazo...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Kwa wale wenye mitaji midogo na wanayonia ya dhati ya kufanya biashara yoyote, hii ni kwaajili yako. Nibiashara nzuri ambayo inakufanya uwe na amani huku ukitengeneza kipato. 0763797853
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kwanza napenda kushukuru forum hii kuwepo ili kutusaidia kukua kifikra. Natamani, na tayari nimefanyia kazi mawazo kadhaa ambayo yote yanaonekana ni productive in future, lakini kuna uhitaji...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu wana jamvi naombeni elimu kuhusu bei ya mashine hizi mbili selcom na maxcom malipo ,faida pamoja na hasara zake karibuni sana wadau
0 Reactions
13 Replies
5K Views
KATIKA HARAKATI ZAKUBORESHA BIASHARA ZA WAJASIRIAMALI WADOGO HUSUSWANI WAMACHINGA VYUO VYA TANZANIA NA FINLAND VIMEKAMILISHA TAFITI 3 KATI YA NNE ZINAZOLENGA KUJA NA SULUHISHO LA KUDUMU. HAPA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inyweee wanajamvi, habari za kusherekea siku kuuu ya muungano? mwenzenu ndo nimemaliza kumwangalia Mh Makamba hapa TBC1 na adithi zake za kuadisiwa juu ya asili ya muungano wetu, kwa kweli...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Zaidi ya Habari -Kongamano la Biasharra TZ na ... TAARIFA KWA UMMA Kongamano la Biashara Tanzania na Vietnam 09 Machi 2016, JNICC, Dar es Salaam Kufuatia ziara ya Rais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…