Wadau wa JF!
G12 kama kawaida yetu tunakuja na habari za ukweli kila siku.
Tangazo:-
Tunatatengeneza magari aina ya Pickup SUV,Tricycle,Mini moke,VAN(Mini bus), n.k. Tunatafuta watu katika nchi...
Nimeangalia website za Japan zinazouza magari kama Beforward na Tradecarview sijaona Toyota Landcruiser Amazon, labda nna makengeza. Kwa mwenye uelewa anijuze ni site gani naweza kuona gari hii.
USDJPY = Sell
AUDJPY = Sell
CADJPY = Sell
CHFJPY = Sell
EURJPY = Sell
GBPJPY = Sell
NZDJPY = Sell
NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of...
Bila shaka mu wazima wakuu,
Kama kichwa cha somo cha jieleza naomba wauzaji wa vyombo vya muziki(music instruments) walioko zanzibar hasa key boards na booster tuonane hapa tafadhali.
Nakaribisha...
Mimi ni digital marketing freelancer(SEO, Social, Email, PPC + Web Analytics)je ungependa kujua chochote kuhusu sales, marketing, advertising, n.k.
We uliza tu...
http://tzexchange.blogspot.com/2015/11/tanzania-bank-issues-first-ever-retail.html
Exim Bank Tanzania on Monday issued to the public the first ever retail bond in a move designed to raise...
Watu wengi wamekuwa wakiwa na hamu kubwa ya kupata kazi, mara wapatapo kazi wamekuwa wakibweteka na kuishia kuwa na mawazo madogo ama plan ndogo yaani ya kuwa tu na nyumba na gari.
Yaani wengi...
Habari wakuu,naomba mwongozo wenu ni wapi naweza kupata kampuni au mtu anayeweza kunichimbia visima kwa ajili ya umwagiliaji shambani,mahali ni Dodoma na kwa vile shamba hakuna umeme ningefurahi...
When Shaquille O'neal was drafted into the NBA, he spent the first million that he earned within 30 minutes. O'neal then received a phone call from his banker, who scolded him, and told him that...
Wadau heshima kwenu,
Nina wazo la kuanzisha camp ya watalii katika barabara kuu za nchi yetu , lengo ikiwa ni kuwa na eneo ambalo ambalo nomadic tourist (wale wanaotembea na magari masafa marefu)...
Watanzania wanao tumia mabenki kuweka fedha zao za akiba, wamehimizwa, wasiishie kwenye kuweka akiba tuu, bali watumie sehemu ya akiba kwa kuziwekeza kwenye hisa hivyo kupata fedha nyingi zaidi...
Mwaka jana mwezi wa 10,nilianzisha biashara yangu ndogo kulingana na mtaji mdogo nilokuwa nao.kabla ya kuanza nilienda TRA ili nipate TIN,kisha leseni ya biashara.Biashara hiyo ni...
Habari za shughuli ndugu mabibi na mabwana. Nataka nieleweshe nini faida na hasara ya kufungua account za pesa za kigeni, ili kulinda pesa yangu kushuka thamani nataka kujua kodi, kiwango cha...
Habari zenu ndugu zangu,.
Tangu mwaka 1971 pesa ilipoteza dhamani yake halisi pale dola ilipokua inathaminishwa na standard gold na silver,.tangu kile kipindi tunaona pesa hazina tena...
Najaribu kuangalia links za maduka china yanayouza sneakers but naziona ila sizipendi ninazoziona.
Kama kuna mtu china hapa ama unauzoefu na sneakers naomba uniunganishe nione nitafikia wapi...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
This pair was bearish last week. Bulls tried to push price upwards. But as a result of severe opposition from bears...
Wakuu mimi ni mwanafunzi wa kidato cha sita natarajia kumaliza shule mwezi ujao.Nikimaliza shule nataka nifanye biashara ya kuchukua dagaa nyasa toka kusini kuleta dar es salaam.Sasa je ni wapi...
Habari zenu wadau.
Sekta ya gesi na mafuta inakuwa kwa kasi kubwa sana Tanzania.Hii ni kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya nishati hizi muhimu za gesi na mafuta.
Na sekta hii inafursa nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.