ni kampuni gani au blog gani ambayo inalipa kwa mpesa, tigopesa au airtel money endapo utashare habari zao kwenye akaunti yako facebook au kwenye blog yako?. nimeuliza maana nasikia makampuni...
Habari wana FJ,
Nimekua nikipata faida ya elfu 30 kwa siku katika biashara yangu ndogo ndogo lakini imekua ikipotea tu kwa matumizi madogo madogo ya hapa nyumbani mpaka nmewaza nifungue account...
Muda mwingine unaweza ukajiuliza kwa nini mteja au wateja Fulani siku hizi huwaoni katika biashara yako, unaanza kumtafuta mchawi ni nani katika biashara yako kumbe mchawi ni wewe mwenyewe ambaye...
wakuu niko tumbo joto naogopa kamtaji kangu kataisha nimepata vihela hapa,
lakini wazo langu la kwanza ni kufanya biashara ya nyama pori niwinde niuze, naomba mwenye uzoefu na mwenye utayari...
Hi jf members,in life people gifted into diffent ways.
Others are born to rule
others born to run.
I have born to formulate business ideas.
I have a lot of business i dear tht some of them are...
“Although I’ve witnessed uncountable demo contests the world over, these are the most impressive results I’ve ever seen, despite the vagaries of the markets.”– Analyst75
Honestly, my plan for...
Habari wadau !
Naomba kusaidiwa idadi ya watumiaji wa mitandao ya simu ifuatayo kwenye jiji la Arusha.
1) Tigo ...........
2) Airtel ...............
3) Zantel..............
4)...
Good afternoon,
Warm regards from Fleet Monitoring systems Limited.
Fleet Management Systems Ltd is an existing business that provides fleet Management Solutions (find attached a company...
Poleni na pilika za hapa na pale natumaini mko salama na maisha yanasonga kama kawaida.
Nia na dhumuni langu ni kutaka kuwauliza wenzangu.
Mimi nimekua nikifanya biashara ya kutembeza bidhaa...
Habari wana bodi.
Nimekuwa interested sana na biashara ya hardware pamoja na biashara ya workshop.
(a) Workshop
Workshop inaweza kuwa ya woodworks, Aluminium works, PVC works and Welding.
(b)...
Nilipozuru Mwanza nilivutiwa sana na Beach zake safi na zenye mandhari nzuri kama pale Tunza Beach, Nyegezi pale SAUTI na nyingine nzuri tuu,
Lakini zaidi ya hapo lile jiji lina Kisiwa maarufu kwa...
Habari zenu,
Naombeni msaada wa wazo la kibiashara gani ya kufanya ambayo itanisaidia kukuza mtaji wa mil 3 nilizopewa na ndugu zangu baada ya kuona nimekaa muda mrefu bila mafanikio ya kupata...
11 Business Opportunities in Africa That Will Make More Millionaires in 2016 - Smallstarter Africa tupitie hii kidogo nice article for upcoming entrepreneurs [emoji108]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.