Wakuu nimetumiwa pesa toka Europe, natumia majina 3, nimeenda Bank ya Posta wananambia Jina langu linasomeka tofauti kwenye System Yao, tofauti Na kwenye kitambulisho, kwamba jina la mwisho...
Nawakaribisha tushirikiane katika biashara kwa mfumo wa kununua shares. (Share dilution)
SECTOR: BUILDING MATERIALS/CONSTRUCTION
FORM OF BUSINESS: PRIVATELY LIMITED COMPANY
COMPANY EXPERIENCE...
Habari jamani?
Mi ni kijana single, nafanya kazi sasa nimejikusanyia vimshahara vyangu sasa nina Milioni thelathini i.e 30mil katika account yangu ya benk.
Nataka kuwekeza hvo vijicent , sasa...
Salam wakuu. Kutokana na kukua kwa teknolojia ya internet duniani, biashara,na huduma nyingi siku hizi hupatikana online aidha bure au kwa malipo kidogo kwa kuwa na ka-blog ama website.. Kwetu...
Ninauomba uongozi wa mfuko wa LAPF kutoa namba itakayotumika kujua na kuhakiki michango kwa wanachama wake.Namba hiyo itawasaidia wanachama hata kumbana mwajiri kama hawasilishi michango ya...
Habari zenu wakubwa
Mimi ni mwanafunzi wa chuo
Nina mtaji wa million 1,biashara iliyo kwenye akili yangu ni kununua mtumba wa kiume grade one na kufanya retailing kweny hostels za vyuo...
JE UNAFAHAMU KUWA TANESCO IMEPUNGUZA BEI YA UMEME NA KUONDOA TOZO YA KUTOA HUDUMA (SERVICE CHARGE) KWA WATEJA WA T1 KAMA ILIVYOONYWESHWA KWENYE JENDWALI HAPO CHINI KUANZIA TAREHE 1/4/2016...
Nyumba kubwa na ndogo ndani ya fence moja. Parking ya gari ni kubwa yenye uwezo wa accommodate magari hadi madogo manne.
Nyumba kubwa ina vyumba vinne kimoja kikiwa ni master bedroom, sitting...
Leo katika kipindi cha Jahazi Clouds FM nimesikia tangazo la Airtel na Vodacom yakitangazwa katika kipindi hicho je inawezekana kwa washindani wamoja katika biashara kudhamini kipindi kimoja cha...
Tunacheza na fursa! Kulingana na joto kuongezeka mjini vinywaj baridi vimekuwa katika uhitaji mkubwa. Niliwaza kuwa na friza lakini nikagundua mali iliyoko haitamtamanisha mpita njia kwa maana...
28/03/2016 Tanzania Kunufaika na Sehemu ya Dola Milioni 750, Kuboresha Biashara
Tanzania itafaidika na mchango wa Dola la Kimarekani Milioni 750, zilizochangwa na Taasisi ya TradeMark East...
Ndugu zangu habari zenu. Poleni na pilikapilika za hapa na pale za maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa iliyokuwa Tanganyika leo inaitwa Tanzania bara. pia poleni kwa maandalizi ya sikukuu za...
Tanzania Mortgage Refinance (TMRC) imetoa ripoti ya soko la mikopo ya nyumba Tanzania kwa mwaka 2015.
Ufuatao ni muktasari wa ripoti ya TMRC;
Soko la mikopo ya nyumba limeandikisha ukuaji mdogo...
Kwa hayo na mengine mengi utayapata katika kitabu chako cha "Zitambue Dira na Mizani za Biashara" kwa gharama ya 2,000 tu unajipatia nakala yako soft copy. Nicheki kwa namba 0713332606 whatsapp na...
Habari wakuu, nahitaj bajaj ya mkopo kwa muda wa miez 3 na nitatanguliza milioni mbili kwanza'
.
.
Mwenye kampuni au mdau wa hizo kampuni aje tuongee biashara
.
.
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.