Kwa hakika suala la kuhifadhi pesa ili nifanyie uwekezaji imekua ni suala gumu sana kwangu kwani kila nikiwa na kiwango fulani cha fedha kwenye akaunti nakuwa na msukumo mkubwa wa kutumia hiyo...
habari za hapa jf, ninahitaji kuku wa kienyeji/chotara wale ambao ndio kwanza wameanza kutaga au ambao wamebakiza kama wiki 3 waanze kutaga. niko maeneo ya Airport DSM. naomba kuwasilisha.
Leo nimepita mitaa ya kurasini-tmk nikaenda kukagua mradi wa daraja la kigambon nimeona linakaribia kumalizika pia nikaona nishare na nyie wadau wangu!
#ilovetznchiyangu
Wanajamvi naomba ushauri wenu! Nina rejesho la mkopo ACB ambalo toka awali nikipewa mkopo nilishtuka kuwa itakuwa shida, ikanipasa kuchukua kwani nililazimika kwani muda wote wa miezi 4 nafuatilia...
Wana jf, naombeni msaaada wa biashara gani inafaaa? kufanya...! nna mtaji wa kama m5 hivi bt stil sijajua ni bzness gani nitafanya...msaada wa mawazo jamani.
je ni vitu gani hasa nitahitaji maana ni grosery ndogo tu sio kubwa sana wazoefu walioko humu ushauri wenu utakua msaada sana.. chochote unachojua kuhusu biashara hii kitakuwa msaada tosha kwangu...
Habari asubuhi wanajamvi, kuna ndugu yangu anahitaji kwenda Uturuki kuchukua furniture na pia kucheki bidhaa toufauti za kuja kuuza huku kwetu sema anahitaji invitation letter kutoka kwa kampuni...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
EURUSD moved upwards by 230 pips last week, topping at the resistance line of 1.1350, before the current bearish...
Wanajamvi naombeni kujua risk za kuwatumia madalali katika biashara hususani ya kuingiza mazao kama vile ndizi na viazi kutoka mkoani kuleta dar es salaam
Habari JF,
Leo nimeona nitoe maoni yangu katika hili suala la ujasiriamali nikiwa pia mjasiriamali mdogo ninayezikimbiza ndoto zangu.
Mimi ninaongelea suala la ubunifu linalobebwa na ujasiri...
BEI YA HISA MOJA YA NMB TAREHE 04/02/2015 ILIKUA NI TSHS. 4,290
JANA TAREHE 04/02/2016 BEI ILIKUA NI TSHS. 2,200
UKIPIGA HESABU HAPA UTAKUTA ZIMESHUKA KWA KARIBIA 50%
TATIZO NI NINI?? AU NI...
Hello wakuu, I hope mu wazima wa afya.
I'm here again to tell you about what happened since I came here with my story and I thank God because a lot of people came and advice me and some of them...
Habari wa JF,
Katika harakati za kukuza biashara yako kujitangaza ( matangazo ) ni jambo lisilokwepeka.
Extrem_Marketing tunakufahamisha jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii ( Facebook na...
SACCOS yadaiwa kufilisika na pesa za wanachama
SACCOS moja mjini Makambako mkoani Njombe yadaiwa kushindwa kutoa pesa kwa wanachama wake hali iliyozua taharuki na kuzusha madai ya taasisi hiyo...
Nahitaji kununua gari toka Zanzibar na kulileta Bara. Naomba mwenye kujua anisaidie utaratibu wa kodi na usajili. Je, ni process zile zile kama za kuimport toka Japan?
Nawasilisha
Picha Wanawake kutoka Visiwani Zanzibar walionufaika na Mradi wa Manjano Dream Makers Kutoka Taasisi ya Manjano Foundation.
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.