GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bearish
Gold started a persistent bullish journey a few weeks ago, and this is strong enough to threaten the current bearish bias on the market. Should the bullish...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Profesa JUSTIN NTALIKWA ametembelea mradi wa gesi wa SONGOSONGO wilayani KILWA, mkoa wa LINDI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Profesa JUSTIN...
Mwana JF,
Atakae toa wazo bora la biashara halali katika jiji la dar na wana jf walio wengi wakaridhia na liwe na mtaji wa three million kwa mara ya kwanza nitatoa zawadi ya pesa tasilimu ambazo...
Nimeanzisha thread hii tusaidiane kujua bei za mafuta katika nchi mbali mbali. Hii itatusaidia tujue iwapo Tanzania bei zake tunapigwa au lah hasa wakati huu ambapo bei ya crude oil inaporomoka...
Habar ndg jamaa marafik naomb kujua jins ya kuapply kaz serikalin vitu vp vinaitajika kuambatanisha wakat wa kupeleka barua km mim ni dereva mwenye kujua anijuze,atujuze ahsanten
Habari wana-JF
Ni leo nimekutana na binti mmoja akilia kuingizwa mjini na wajanja,Kwani yeye anafanya kazi katika vibanda vya huduma ya pesa kama M-pesa,TigoPesa n.k
Mambo yalikuwa hivi, alipokea...
USDJPY = Buy
AUDJPY = Buy
CADJPY = Buy
CHFJPY = Buy
EURJPY = Buy
GBPJPY = Buy
NZDJPY = Buy
NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of 200...
Mimi ni kijana muangaikaji hapa town mepata gari aina ya subaru legacy wagon sasa nikua nauliza hii gari inadumu hasa upande wa engine maana ni turbo chargred engine na fuel consumption ikoje..
Ukiona nimekuja kuandika jambo humu ujue limenifika hapaaa.TRA Import Zone kuleee tabata near Mwananchi kuna huyu baba mgeni ambae ndio incharge wa ile bandari kavu kahamishwa kutoka Musoma...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Neutral
This pair went up from the support line at 1.0800, reaching the resistance line at 1.0950. From that resistance line...
Nimekua nikitaka kununua mashine kwa ajili ya kilimo toka China kwenye mtandao wa Alibaba lakini makampuni yote niliyo wasiliana nayo wanapokea malipo kwa T/T pekee. Hawataki kutumia PayPal au...
National Health Insurance Fund (NHIF) Director General Michael Mhando
The government intends to amend the law governing the Community Health
Fund (CHF) to make it mandatory for all people to...
Nina jamaa wanataka kuja kujenga chuo kikuu kikubwa kama vile UD or something similar
Je upatikanaji wa ardhi ukoje? Je serikali au wilaya zinaweza zikawa na ardhi ambazo zimetengwa kwa jili hii...
katika maisha yangu napendelea sana kuja kufanya hz biashara ya bar,loagy na kumbi za harusi......kuanzisha biashara kubwa ambayo itakuwa imevibeba hv vitu vyote kwa pamoja.NATAKA NIJUE CHANGAMOTO...
Kumbe kuna mambo mengine Rwanda ipo hata juu ya U.S.A.
Kenya na Rwanda wametuacha sehemu nyingi sana.
Jaribu kufuatilia hii link ya World Economic Forum
Competitiveness Rankings
Wakuu habari za mida hii.. Naomba kujua kama naweza kuanzisha kampuni ya kuuza vinywaji vya jumla.. yaani kuanzisha kampuni ya kuuza bidhaa za kampuni nyingine lakini kampuni tofauti tofaut kama...
Habari wadau,
Ninahitaji kuunganisha wajasiriakilimo Katika mradi unaoitwa SITA Yaani support India Trade and Investment in Africa... Mradi huu utahusisha kuunganisha wadau Katika mnyororo wa...
“One of the keys to a trader’s success was not the results of a trade but rather how a trader reacted to the results of a trade.” – Dan Gamza
Why me? Why did this happen to me? Those are some...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.