Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amekagua banda la Wizara ya Nishati na Taasisi zake katika tamasha la KIZIMKAZI linaloendelea Visiwani Zanzibar. Wizara ya Nishati inashiriki...
0 Reactions
2 Replies
208 Views
Wadau naomba kujuzwa juu ya mikopo ya kibank kwa wenye ajira ambao mikataba yao haizidi mwaka m1
0 Reactions
4 Replies
290 Views
Habarini, Samahihi natafuta mtu binafsi wa kunifundisha kutengeneza sabuni za maji aina zote Shampoo's na vitu kama hivyo Gharama za ukufunzi tutaelewa.
1 Reactions
14 Replies
708 Views
Habari za Asubuhi wakuu humu ndani natumahi mko poa. Sasa kama mada inavyojieleza hapo juu, mimi nimekuwa nikifanya utafiti mbalimbali hapa Dar es Salaam kuhusu biashara ambazo mtu ukizifanya kwa...
7 Reactions
35 Replies
5K Views
Project Consulting Services: 1) Project planning-identifying activities for financial and or social results 2) Project Management - identifying resources for the planned activities and methods...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Naomba kufahamishwa bei za ram za dell kwa sababu nataka niongezee pc yangu . Nitashukuru sana wakuu
0 Reactions
5 Replies
276 Views
Habari za wakati huu Wana jf Niende mojakwamoja kwenye point, Mimi nipo mkoa x nataka kufanya biashara ya form six and round t- shirts za mtumba grade 1 ,mtaji wangu nilionao ni 400,000.Naombeni...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu, Naandika kwenye jukwaa hili kujulisha lengo langu la kutaka kuuza kampuni yangu ya ulinzi ambayo tayari imekamikika usajili. Kampuni ilisajiliwa mwaka 2022 na kuanza...
1 Reactions
6 Replies
420 Views
Habari za leo! Ikiwa umewahi kufikiria jinsi nyumba yako inaweza kuwa na muonekano wa kipekee na kuvutia, Afro Eco Wood Designs ndiyo jibu unalotafuta. Tunatoa huduma ya kudesign furniture na...
2 Reactions
0 Replies
197 Views
Habari! Pamoja na kazi yangu ya ulinzi, napenda kuwajulisha kuwa naweza kukusaidia kwenye mambo mengine kwa gharama nafuu. Hapa chini ni huduma zangu: Mafunzo ya Kitaaluma: Unahitaji msaada...
7 Reactions
5 Replies
366 Views
Vijana wengi wana mitaji midogo ila hawajui biashara gani wafanye kuendena na huo mtaji bila kupoteza huo mtaji, kwa ufupi ntataja aina za biashara ambazo kijana mwenye juhudi ya utafutaji anaweza...
23 Reactions
79 Replies
9K Views
Mfuko wa wa uwekezaji wa pamoja a.k.a UTT mnamo tarehe 16/ 6 /2023 uliweza kufikisha thamani ya Shillingi Trillion moja na nusu (1,500,000,000,000/=). Yaan kwa ufupi,mfuko huu umefika hadhi sawa...
9 Reactions
33 Replies
2K Views
WAZIRI MAVUNDE AGEUKA MBOGO; ATAKA MRADI WA DHAHABU MAGAMBAZI UANZE UZALISHAJI MKUBWA -Awataka wamiliki wa leseni kufuata masharti kwa mujibu wa Sheria*, -Awapa mpaka 1 Septemba 2024 kujibu hoja...
0 Reactions
0 Replies
218 Views
Wakuu habarini na milioni moja yangu nataka niiweke yote UTT.Maoni yoyote kabla sijafikia huu uamuzi
2 Reactions
11 Replies
515 Views
Za asubuhi wananchi wenzangu na watafutaji wenzangu... Leo nimeamua ku-share na ninyi Kikotoo changu changu nilichokiunda kwa kutumia Program ya Microsoft excel kwa ajili ya kunisaidia kudadavua...
7 Reactions
41 Replies
2K Views
Samahani wanajanvi. Naomba ufafanuzi nataka kuanzisha biashara ya kusaga na kukoboa mahindi. Hii biashara imesimamaje? Gharama za kuanzisha mashine zikoje? Kuna faida au hasara?
2 Reactions
32 Replies
8K Views
Okoa maisha ya uwapendao kwa kuacha matumizi ya nishati zisizo safi za mkaa, kuni na nyinginezo. Matumizi ya nishati zisizo safi husababisha athari za kimazingira zinazopelekea mabadiliko ya...
0 Reactions
2 Replies
189 Views
Didier Drogba, aliyekuwa mchezaji na mfungaji wa timu ya Chelsea ya mpira wa miguu nchini Uingereza alikwenda mapumziko kwenye hoteli moja ya kifahari iliyoko ufukweni. Aliona magari ya aina zote...
6 Reactions
4 Replies
740 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni wataalamu mnipe ushauri biashara ya kuuza magari kwa sababu nataka kujipanua zaidi kibiashara baada ya biashara ya madini,kilimo na real estate...
6 Reactions
34 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…