Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

All in all 2023 year is coming to the end. Let us pray hard next year to be good. Whatever happened this year let be a lesson don't quit. Though the game is tough we shouldn't stop learning...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
DKT. MPANGO AILEKEZA WIZARA YA MADINI KUSIMAMIA MADINI MKAKATI KWA MANUFAA YA WATANZANIA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango ameitaka Wizara ya Madini...
0 Reactions
0 Replies
182 Views
TRA KUKUTANA NA WADAU WA SEKTA YA MADINI KUJADILIANA MABORESHO YA SEKTA YA MADINI -Kuhusisha Watoa huduma,Wachimbaji wakubwa na wadogo -Waziri Mavunde aipongeza Wizara ya Fedha kwa ushirikiano...
0 Reactions
0 Replies
162 Views
Bila shaka mu wazima na mnaendelea na majukumu. Moja kwa moja niende kwenye mada,naomba kufahamishwa kuhusu binance. Kwanza binance ni nini? Inafanyaje kazi? Faida zake? Hasara kama zipo...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wakuu humu ndani
1 Reactions
1 Replies
176 Views
Kuna masoko takribani matano ya mitaji Soko la hati fungani Soko la hisa Soko la Kubadilisha fedha Soko la Cryptocurrency/ Fedha za crypto Soko la Bidha/Dar Mercantile market Hayajepewa kibali...
2 Reactions
3 Replies
713 Views
Wakuu, Mimi nikijana ninafanya kazi kwenye taasisi moja nchini kama Volunteer kwa muda wa miezi sita sasa. Mwanzo nilikuwa nafanya kazi kwenye moja la shirika kubwa na mshahara mzuri sema...
20 Reactions
148 Replies
13K Views
MKUTANO WA KIMATAIFA WA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI TANZANIA KUWAVUTA WAWEKEZAJI DUNIANI KOTE - MAVUNDE Asema Tanzania Iko tayari kwa Uongezaji Thamani Madini 📍Dar es Salaam. Waziri wa Madini...
0 Reactions
0 Replies
234 Views
Kwa muda mrefu, Asasi za Kiraia zimekuwa zikitambulika kwa majina tofauti tofauti kama vile; sekta ya kujitolea yaani “voluntary sector”, sekta isiyotengeneza faida, yaani “not-for-profit sector”...
3 Reactions
1 Replies
365 Views
Hasa wenye makabila ya asili ya Tanzania Biashara inaenda vizuri bila tatizo mfanyabiashara anaona haitoshi yafaa kuiwekea ulinzi, anamtafuta mganga kufanya zindiko. Biashara ikianza kufeli...
5 Reactions
26 Replies
947 Views
Habarini wakuu, Naomba kuuliza kama yupo mwenye kufahamu mutual funds(kama vile UTT nchini tanzania) kwa nje ya nchi (esp. Marekani & Uingereza) ambazo zinaruhusu foreigners kuinvest atupe...
0 Reactions
0 Replies
176 Views
Anahitajika mpangaji binafsi au taasisi kwa ajili ya kupanga nyumba kubwa yenye fence kubwa ya viwanja viwili double vya low density. Eneo ni Kinyerezi mwisho bomba la Songazi ni mita kama 200...
6 Reactions
17 Replies
463 Views
VIJIJI VITANO VYALIPWA BILIONI 2 ZA MRABAHA KUTOKANA NA UZALISHAJI WA DHAHABU NYAMONGO-TARIME ●Kiasi cha Tsh Bilioni 2 zalipwa kwa vijiji vitano ●Wilaya ya Tarime yanufaika na Malipo ya Tsh...
0 Reactions
1 Replies
268 Views
WAVUVI WA MUSOMA VIJIJINI WAHAMASIKA KUCHUKUA MIKOPO NAFUU YA SERIKALI YA UVUVI WA VIZIMBA Busumi Fishing Cooperative Society (Chama cha Ushirika cha Wavuvi wa Kitongoji cha Busumi) kimechukua...
0 Reactions
0 Replies
202 Views
Wakuu habarini, Nahitaji kufungua duka la vinywaji kama bia, soda, pombe kali baadhi, maji na sigara la rejareja sio kuubwa bali la kawaida tu, naomba muongozo wa wanaofanya hii kwamba naweza...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu, naombeni wazo la biashara ya mtaji wa 300k-500k Dodoma Mjini Napokea ushauri wenu
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Makala hii imeandaliwa kwa lengo la kumkwamua mjasiriamli katika kutengeneza bidhaa mbalimbali za ujasiriamali itumie kujigunza kunatengeneza bila kufundishwa. Kupitia program maalumu ya mafunzo...
16 Reactions
27 Replies
34K Views
Rais wa 16 wa Marekani, Abraham Lincoln aliwahi kusema “Ukipewa Masaa sita ya kukata mti, tumia masaa manne kunoa shoka” kwa maneno mengine ni kuwa utatumia nguvu nyingi sana kuangusha mti ikiwa...
8 Reactions
4 Replies
530 Views
Kama mfanyabiashara wa Tanzania nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 15, naomba nitoe uzoefu wangu kwa watu wanaotamani kuanza biashara zao wakilenga kupata tender za serikali kama source kubwa ya...
5 Reactions
9 Replies
554 Views
Maisha yetu na safari nzima ya maisha ni Project yetu. Madamu ni project mhimu kila mmoja ajifanyie SWOT analysis yake, hii itamsaidia ajitambue, ajirekebishe, ajitathmini na aamue mambo...
5 Reactions
5 Replies
434 Views
Back
Top Bottom