Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Jamani kwa mtu ambaye hajawahi kufanya biashara ni wapi pazuri kuwekeza kama million 100? Hisa, kampuni zipi Zina hisa Bora,,NMB,CRDB,TBL, Serengeti Bia,Wapi hasa na kwanini? Bond..je za BOT 20...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Nikiwa na one million naweza fanya biashara gani na ikanipa faida nzur msaada apo
2 Reactions
4 Replies
557 Views
JamanI mimi nataka nifanye biashara ya dagaa nakua nasafirisha kutoka mwanza kupereka songea na iringa je ni changamoto gani ninaziweza kukutana nazo. Nahitaji TahadharI, faida zake na hasara...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ZIARA WAZIRI MAVUNDE YALETA FARAJA KWA WACHIMBAJI WADOGO WA LEMISHUKO, SIMANJIRO-MANYARA - Eneo la Lemishuko kurushwa ndege nyuki ya Utafiti - Serikali kutatua changamoto ya Maji,Umeme,Barabara...
0 Reactions
0 Replies
210 Views
Mimi ni kijana wa miaka 30 nina elimu ya diploma ya clinical medicine nilimaliza chuo miaka 4 iliyopita.naomba kufahamishwa hasa namna rahisi ya kumudu biashara tajwa hapo juu. Siwezi kukaa...
3 Reactions
6 Replies
779 Views
Unavyotengeneza mbinu (strategies) mbali mbali za biashara. Basi bidhaa (product) inaingia, kuwa miongoni mwa mbinu (strategies) zako. Hapa tunapata kitu kinaitwa, setting product as a strategy...
1 Reactions
2 Replies
413 Views
Wakuu msaada hapa mawazo tutani, napenda sana biashara ya samaki, naomba kujua ni kwa namna gani nitafanya bishara hii japo kwa mtaji mdogo ila tu inipe faida. Kwa uenyeji mimi nipo mkoa wa mara...
2 Reactions
4 Replies
783 Views
Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki...
12 Reactions
143 Replies
6K Views
Nimeangalia Maua yana bei sana. Nimeshindwa kujua kwanini? Natamani kuuza maua kwa bei rahis lakini siijui hii biashara? Nahitaji ushauri 1. Biashara ikoje? 2. Kuagiza nje na kununua jumla...
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Habarini wakuu! Nina App yangu nahitaji kuitangaza hivyo wale ambao wameshatumia ma influencer wa tz, nilikua naomba mnisanue bei zao nijipange. sihitaji wabashiriji🤣. Naanza mimi kusanua "Mr...
1 Reactions
5 Replies
274 Views
Natafuta Shamba Kisaki Morogoro Ekari 50. Mwenyeji uko, tuambie bei zinaendaje?
1 Reactions
4 Replies
277 Views
Wakuu habari ya week end,naomba mnijuze anaejua bei us magneto mpya na wiring ya boxer bm 150
0 Reactions
1 Replies
357 Views
Agosti 6, 2024 Meta imesema kuanzia mwezi huu (Agosti 2024) itapanua zana za uchumaji wa mapato za watayarishi nchini Tanzania kwenye Facebook na Instagram. Hatua hii ni matokeo ya moja kwa moja...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari Wana JF, Samahani nilikua naomba msaada jinsi ya kutangaza biashara mtandaonii kwa kutumia zile sponser au Kama Kuna njia nyingine yoyote ilimradi iwafikie watu wengi mtandaoni. Ahsanteni 🙏
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Hatupaswi kuishi jumlajumla. Ni vizuri ukajitathmini na ujiwekee kiwango chako cha pesa na mali ambacho chini ya hapo utafanya lolote usishuke. Madhara ya kuishi bila kujiwekea kiwango chako cha...
6 Reactions
3 Replies
275 Views
Habari zenu wapendwa, Naomba kujua kuhusu biashara ya chikichi kavu na soko lake kwa ujumla na changamoto zilizopo kwenye biashara hiyo kwa mwenye ufahamu Aksanteni!!
0 Reactions
0 Replies
318 Views
DODOMA Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Wizara ya Mipango na Uwekezaji pamoja na Wizara ya Viwanda na Biashara zimekutana kujadili namna ya kuondoa changamoto katika sekta ndogo ya chumvi...
0 Reactions
0 Replies
147 Views
Habari wakuu, Kama kuna mtu anawafahamu ma agent wanaosafirisha mizigo kwa ATCL kutoka nje ya nchi Kuja Tanzania. Tunaomba waorodheshe hapa.
1 Reactions
5 Replies
579 Views
Wadau naomba mnielekeze namna naweza kutengeneza ice cream za koni bila kutumia machine
0 Reactions
3 Replies
344 Views
Wakuu wanaoifahamu Mbagala vzuri ... Je kwa sasa Mbagala Mbande Kuna fursa gani za biashara kwa mtaji mdogo usiozidi 3M?
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom