Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nina eneo langu lipo barabarani kabisa... Maeneo ya Tegeta.. Huku ndo watu wanajenga sana sasa hivi, zipo hardware uchwara ambazo hazina kila kitu.... Kama tiles ndo hakuna kabisa... Sasa...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
WIZARA YA MADINI YAANZA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA WAKINA MAMA NA VIJANA (MBT) KWA VITENDO •Leseni 4 zakabidhiwa kwa kikundi cha Mshikamano Women •Waziri Mavunde awapongeza kwa kujenga Zahanati...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Natafuta mtu mwaminifu mwenye duka, nitakaye mkopesha product hizi na atalipa atakapouza. Maduka 25 tu. Kama unahitaji wahi sasa. Product hizi ni 1.a )Mishumaa ya kawaida. b)Mishumaa ya...
0 Reactions
1 Replies
196 Views
Habar wakuu, Tafadhari rejea kichwa hapo juu. Baada ya kukaa benchi mda kidogo bila ajira niliamua kujichanga mm na rafiki yangu kufungua biashara ya laptops za vifaa vya simu, Mungu akasaidia...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote.! Nilitaka kutabiri muda wa anguko au kufa Kwa SGR nikakuta kumbe kuna nabii kashaa tabiri kwamba haifiki miaka 6 hii tren itashindwa...
8 Reactions
52 Replies
1K Views
Naomba kujua mwenye uzoefu na mfumo wa VAT namba ya kujisajiri na jinsi ya kuutumia mfumo. Msaada
0 Reactions
6 Replies
397 Views
CRDB BANK: Nilifungua account ya CRDB lakini nilikutana na mambo ya ajabu mpaka nikatelekeza account baada ya miaka 4. Niliwahi kufanyia miamala ya kutoa pesa kwenye ATM za CRDB ndani ya mwaka...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wanajamvi nataka kufungua biashara eneo la wazi biashara itahusisha chips,mihogo yakukaanga,nyama choma,supu nk nafikiria kununua projector itakayo nipa nch 100 ama zaid iwe moja ya kivutio...
3 Reactions
8 Replies
459 Views
Watu wanafurahia kuhusu uwekezaji angali wengine wanabeza na wengine hawajui ni nini kinaendelea Kwenye jamii kuna makundi matatu ya watu. 1. Kundi la wengi, wale wanatumia nguvu akili, jasho na...
13 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamvi, hivi ni kwa nini biashara za bongo hasa hasa zinazomilikiwa na watz weusi huwa haivuki kizazi zaidi ya kimoja? Yaani unakuta anapokufa muanzishaji wa ile biashara basi...
2 Reactions
11 Replies
399 Views
Wasalam wana Jamvi. Naomba kwa wataalam wa Kariakoo mnipe namna bora ya kupata Fremu kariakoo maana Naona madalali ni wengi nisije kupigwa hela yenyewe ya Mkopo hii.
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Habarini wote, naomba kujua ni maeneo gani kwa Moshi naweza kufungua duka la vifaa vya ujenzi, pia mwenye pia anaeweza nisaidia kupata na fremu itakuwa poa..
2 Reactions
18 Replies
437 Views
Jinsi mimi ninavyopata faida ya 45,000 kwa siku. Kwasasa nina pikipiki aina ya Fekon na Huoniao jumla zote zipo 15 mtaani kwa mkataba wa miezi 12. Nilianza na mtaji wa 8,300,000/= mwaka Jana...
56 Reactions
105 Replies
17K Views
Salaam moja kwa moja kwenye mada! Wiki mbili zilizopita nilipata bahati ya mzigo kwa bei rahisi! Basi nikawa na pesa nusu ya kuulipia na nusu iliyobaki nikaona nikope hii NBC! Na kumuahidi muuzaji...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, Mtaji wangu ni milioni 3-4, naombeni ushauri wa biashara ya kuweza kuniingizia kiasi cha kuanzia elfu 30 mpaka elfu 50 kwa siku. Nina miaka 30, nipo Dar, jinsia Wa kiume...
12 Reactions
97 Replies
20K Views
Salaam. Nimeliona hili muda mrefu ila sababu leo ni Dabi ya kariakoo nimeamua kuliongelea. Nimeliona kwa baadhi ya wasanii, comedian, watangazaji na baadhi ya watu maarufu. Utakuta mtu ana...
2 Reactions
3 Replies
304 Views
Nimekuwa nasoma na kusikia kuwa wakati Tanzania tunapata uhuru tulikuwa sawa au karibia usawa na China kiuchumi na ndiyo maana walikuwa marafiki zetu, sasa nikawa najiuliza sana walitupitaje...
10 Reactions
45 Replies
3K Views
Jaman naombeni ushauri kwa wale wenye uzoefu Wa biashara ya accessories nilikuwa naomba kujua mtaji wake wa kuanzia accessorie ipi inatoka zaid na zipi mzunguko wako ni mlefu na mengine mengi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa uzoefu wangu wa kufanya biashara hapa nchini ni megundua hamna nchi ngumu kulea biashara watoto na wajuku wako waikute, watu wanapoteza mitaji kimasihara, mtu anafungua duka la vipodozi na...
8 Reactions
28 Replies
1K Views
Back
Top Bottom