Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ni fursa kubwa imejitokeza kutokana na uhaba wa maji. Ningeshauri muanze biashara ya kutembeza maji mtaani ndoo/dumu 5,000 TZS huku Bonyokwa. Kwa siku ukiuza 100x5,000=500,000 X siku 30 =...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Habarini wana JF, Maritz 2000 traders company limited ni wauzaji wa protective equipments zote kwa bei nafuu ikiwemo Gloves Mask Helments Safety boots Overalls aina zote Karibuni sana Whatsapp@...
1 Reactions
1 Replies
193 Views
Hey, wapendwa 4M inatosha kufungua grocery? Kama inatosha je vitu gani muhimu? Na yenyewe inatakiwa kuwa na Vibali au unaweza kufungua kama duka la mangi? Nafikiria kwenda field ili nipate...
9 Reactions
71 Replies
4K Views
Imekuwa kawaida kwa watu wa call center Kutoka taasisi mbali mbali kupiga simu kwa wateja Hasa pale taasisi inapoamua kufanya sales kupitia kupiga simu. Tunajua sales is a game of number sio...
3 Reactions
0 Replies
229 Views
Hello money hunters! Leo nimeona niungane na Tony robbins aliyesema",90%ya mafanikio ya mtu ni psychology and only 10% ni mechanics"  kwenye harakati za utaftaji psycholojia yako ina matter...
17 Reactions
27 Replies
2K Views
JUHUDI ZA SERIKALI ZAWEZESHA WACHIMBAJI WADOGO KUAMINIKA NA TAASISI ZA FEDHA ● Kiasi cha Shilingi Bilioni 10 zakopeshwa kwa wachimbaji wadogo kutoka CRDB ● Ni mkopo wa Mtaji,manunuzi ya mitambo...
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Kwa zaidi ya 70% uwekezaji uliopo katika soko kuu la hisa Dar es salaam ni kutoka nje ya nchi...Taasisi au watu binafsi. uwekezaji wa ndani bado ni mdogo kwani 0.3% ndiyo wenye uelewa wa soko la...
3 Reactions
15 Replies
992 Views
Kwa wengi wetu neno hisa ni neno tuliloanza kuliskia tangia udogoni,lakini hata hatuelewi lina maana gani,,,Hii ni kutokana na serikali kutoiweka elimu hii muhimu katika mitaala na kutupatia elimu...
2 Reactions
2 Replies
378 Views
Hivi hatuwezi kukutana na kutengeneza kitu cha pamoja? Maana penye wengi pana mengi Nawasilisha
22 Reactions
219 Replies
10K Views
Habari wan JF Natumai ni wazima, Nilikua nahitaji mashine ya kukamulia juice ya umeme je naweza kupata wapi na kwa bei gani. Naomba kwa mwenye kufahamu pia mwenye kujua connection ya miwa...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Maandalizi ya Mkutano wa Wafanyabiashara wa Mifugo, Kilimo wa Tanzania na Comoro yakamilika Balozi wa Tanzania nchini Comoro, Mhe. Saidi Yakubu, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jumuiya...
0 Reactions
1 Replies
295 Views
Wakuu, Kwa wenye ujuzi na uzoefu naomba mawazo yenu juu ya biashara ya Bar. Vitu gani vinatakiwa, vitu gani vya kuzingatia kabla ya kufungua na mahala ambapo panafaa zaidi kwa hizi biashara za...
0 Reactions
190 Replies
48K Views
Wakuu habari! bila ya kupoteza wakati niende kwenye maada husika wazo langu ni kufungua ofisi ya kuuza na kununua pikipiki amabazo zimeishatumika mtaani(used) Ili ofisi iwe imekamilika kwa...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu habari ya leo. Nina wazo la kununua guta la pikipiki kati ya Wanhoo au Toyo. Nafikiria kumpa mkataba kijana kwa hesabu ya 20,000/= kwa siku kwa muda wa miezi 24. Eneo la kazi ni Tanga...
0 Reactions
17 Replies
12K Views
Baada ya kusoma kitabu cha fikiri utajirike (Think& grow rich) nimetokea kuvutiwa nami kutafsiri vitabu ambapo nia yangu nikuja kutafsiri kitabu kama cha human nature, unlock it by Dan Lok na...
1 Reactions
8 Replies
344 Views
WADAU WAITIKIA WITO WA RAIS DKT. SAMIA WA KUONGEZA THAMANI MADINI NCHINI -_Waziri Mavunde aweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda cha kuchakata madini Kinywe(Graphite) -Zaidi ya Ajira 300 za...
0 Reactions
1 Replies
268 Views
Asalaam wanajamii wenzangu! Mimi ni mhitimu wa chuo, nimehitimu miaka kadhaa iliyopita, kwa hali zetu kwa sasa ni ngumu kupata ajira, nimejipiga sana nikasave sh. Mil 3 kwenye harakati za mtaani...
3 Reactions
54 Replies
11K Views
WAZIRI ANTHONY MAVUNDE AMESEMA MAKUSANYO SEKTA YA MADINI IMEVUNJA REKODI Mavunde apiga marufuku wageni kuingia leseni za wachimbaji wadogo Atangaza kiama kwa watumishi wasio waadilifu Kuendesha...
0 Reactions
1 Replies
263 Views
Ila matajiri wa bongo bwana. wamekuwa motivational speakers kuliko uhalisia. Tajiri wa kitanzania na mmiliki wa mabasi ya Super feo anasema yeye alianza na mtaji wa elfu 20 tu na sasa anamiliki...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…