Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau nauliza ukiwa na guta( hizi za kuchochea kama baiskeli) hesabu yake kwa siku ni kiasi gani?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama kuna anayefahamu bei za guta,upatikanaji wake na jinsi ya kufanya biashara nazo anijuze.Kuna mtu kanitonya kuwa zinaweza kuingiza pesa kuliko biashara ya teksi.
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Pamoja na kuwapongeza Afri Tea and Coffee Blenders kwa kuja na bidhaa ya Uji bora, lakini Sukari ni nyingi mno, mmezidisha kipimo. Labda mtoe bidhaa nyingine isiyo na sukari. Hongera kwa ubunifu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta partner kujenga ukumbi wa sherehe, ardhi tayari ipo katika eneo zuri sana.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Kuna mfanyakazi mwenzangu hapa ofisini alikopa kam mill.4 kwenye hizi financial institutions alitakiwa arudishe 5.6m pamoja na riba kwa muda wa miezi kumi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni wasaa mwingine watanzania wenzangu tukibadulishana mawazo katika mtandao huu adhimu kwa mada motomoto, natumai mungu amewajalia heri katika shughuli zenu za kila siku. Wote ni mashihidi kuwa...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Npo dar.nna laki 4 ya mtaji.npo chuo kikuu,nahitaji biashara ambayo haihitaji mda wangu mwingi ili niwe nasoma kama kawaida.nijikimu kwa mambo yangu,.nakaribisha mawazo yote
0 Reactions
7 Replies
2K Views
INSIGHTS INTO THE MINDSET OF SUPER TRADERS – Part 8 “To be successful in the markets, you need to control your emotions and only act rationally. Since we never learned this in school, 90% of the...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
http://youtu.be/fpcvJiO-rjk MUTUAL FUNDS WATANZANIA TUNAHITAJI HIZI MUTUAL FUNDS KWA HALI NA MALI TUYASAHAU YA NICOL ILA TUANZE SAFARI MPYA KWA MSAADA WA YOUTUBE TUNAWEZA KUANZA KUJIFUNZA...
7 Reactions
50 Replies
14K Views
Hivi kwa nini serikali isiingilie viwango vya kodi ya pango kwa minara kwa simu? Inaonekana kodi kwenye maeneo mbalimbali haina zinatofautiana na serikali inakosa hata kodi kwa vile wenye maeneo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta mzigo wa vitunguu toka mangora Arusha, plz nipm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habarini ndugu. Ninaomba ushauri ninunue wapi kiwanja kwa sasa eneo linalofikika kirahisi mjini katikati,lenye huduma za umeme,maji,barabara za uhakika mpango wangu kujenga ghorofa moja...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wakuu naomba kupata mawazo yenu juu ya bidhaa gani naweza kuprocess na kuzalisha hapa nchini, Hasa ukizingatia nahitaji kutumia mashine rahisi na mtaji kidogo (usiozidi tsh mil 5) Muhimu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ukienda SABASABA jipange na hela ya parking!! This season charge ni 10,000/= Jana nimelipia 10,000 kama huna cha kwenda kubeba better ukaacha gari hata huku TAIFA kuepusha usumbufu. Parking ni issue
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wale wa wenye biashara zao wanahitaji software kwa ajili ya kumanage.Wanahabarishwa kuna software package ambayo inapatikana. hii nikwa wali wa:- Mashuleni: kwa ajili ya kutunza maksi za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Description. In financing terms, fund to grow a business can be had from loans with a financial institution or from personal investment as well as from family and friends contribution. The family...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu wapendwa, Je ni kweli kuna mfumo wa kutumia udongo wa mfinyanzi kwa kuchanganya na cement kidogo ukapata tofari zitakazo saidia kujenga nyumba kwa gharama nafuu? Ukitembelea web site...
0 Reactions
76 Replies
18K Views
Helo, wadau nipo very intrested kufanya kazi na makampuni ya real estate, so nataka jua makampuni gn ya real estate hapa dar yanafanya vizuri kwenye biashara?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Nataka kuanzisha biashara ya tours and travel, naomba muongozo wa kusajili biashara tajwa. Natakiwa kupita wapi na wapi mpaka nikamilishe usajili na estimated cost ni ngap...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…