Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari, Natafta contact za mtu yeyote ambaye anafanya bishara za kuagiza vitu kwa jumla Zanzibar vitu vidg vidg (house holds) na kuja kuuza bara. au mtu anaeuza huko Zanzibar kabsa. kama unamjua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekuwa kwa muda nikijihusisha na uchimbaji wa germstone na kuyauza Arusha na Dar, pia hununua kwa watu na kupeleka sokoni. Lakini hapa juzi nimekutana na Mkongo aliyeniletea amethyst kidogo...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Yaani hawa jamaa mbali na kulamba kodi ya TRA. Kila mteja ambae alikuwa ananunu LUKU kupitia mtandao wao walikuwa wanakula 1000 hivi. Na hii ni zaidi ya miaka 5. Celcom wapo almost benk zote...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Smoking is the single largest preventable cause of disease and premature death in the United States. It harms nearly every organ in your body – including your eyes. SMOKING AND CATARACTS...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Wanajamvi, Naomba mnijuze hiyo kampuni hapo juu inajihusisha na nini? Nimejaribu kugoogle sijapata information za kutosha.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa wapi naweza kupata mkopo?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mimi ni mmfanyabiashara ambaye hutengeza viatu vya kimasai hapa Tanzania na kuuza nje, kwa sasa nitafuta materia za aina kidogo tofauti ya ruber soles ambazo huwekwa chini ya sandals hizo kama...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Ukiangalia kwenye mbao za matangazo za "exchange rate" utaona "denomination" tofauti ambazo ni za "currency" moja zinauzwa kwa bei tofauti,mfano "USD 1 ,2 denominations" zinabadilishwa kwa bei...
0 Reactions
1 Replies
778 Views
KWA NINI UFUGE KWARE NA SIO WANYAMA AU NDEGE WENGINE WADOGO Wakati unafikiria kufuga wanyama wadogo wadogo kwa ajili ya nyama na pengine mayai fikiria faida na hasara zifuatazo: Sili (Guinea...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari za asubuhi wana bodi, mimi nna dollar 1000 ya Marekani ya mwaka 2003. Je, Ntabadilishiwa kwa kiwango cha sasa cha dollar au vipi, na ntapata wapi Bureau de Change yenye rates nzuri...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nilihitaji kujua kazi ya " Insurance surveyor and loss assessor " ipoje na inalipa kwa hapa kwetu Tz ?.Naombeni msaada wenu wanaJF kwa mwenye uelewa na mabo hayo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF, Ninamtaji wakutosha kuanzisha boutique la nguo za watoto wa changa hadi miaka 5. Kwa wale wanao safiri kwenda China, dubai, thailand, nk naomba muongozo kuhusu ma supplier. Majina...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama huku kwetu sheria zinakuwa hivi (kama Indonesia), itasaidia kumaliza kabisa biashara ya madawa ya kulevya? Indonesia gears up for executions as families wail in griefCilacap (Indonesia)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina maswali mawili ya kuuliza; (a) Ku establish biashara mmoja inachukua hadi iwe stable. (b) na kuanzisha biashara baada ya awali inatakiwa u open kwa muda gani? Nimeuliza hivyo nina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wanajamvi, Kuna project imeanzıshwa na benki ya posta ikılenga kusaidia vikundi kwa kutoa mikopo mbalimbali.Watu wanahimizwa kuunda vyenye ıdadı ya watu isiopungua 8...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu! Sorry, for some reason ninataka kubadilisha ownership status ya biashara yangu kutoka kwenye sole proprietorship kuwa limited company. Kama sehemu ya requirements ninahitaji...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Kampuni ya kimataifa ya Marekani -iitwayo Syntek Global imeleta fursa kwa wajasiriamali wa kitanzania kupitia bidhaaa ya kipekee iitwayo "xtreme fuel treatment"..kujiongezea kipato. What is XFT...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF. ninamtaji wakutosha kuanzisha boutique la nguo za watoto wa changa hadi miaka 5. Kwa wale wanao safiri kwenda China, dubai, thailand, nk naomba muongozo kuhusu ma supplier. Majina...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tafadhali kwa anayefaham location ya duka la BBone Electronics, nimekutana na hili jina kwenye online shopping fulani but nataka niwatembelee siku moja.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunatoa huduma ya kuandika Business plan, Project proposal, Katiba za NGOs na Makampuni. Pia tunatoa ushauri jinsi ya kuanzisha biashara, kuanzisha NGOs na Makampuni. Wasiliana nasi kwa simu ...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…