Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Anybody, mwenye ujuzi na hizi gari Kwani uraji Wa mafuta na maintenance yake
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ningependa kujua bidhaa zetu za Kitanzania zinazotengenezwa na watanzania. Tuzitaje hapa mahala popote ambapo zipo bila kujali ukubwa wa uzalishaji.... Mimi inaanza; 1. Sabuni za gwanji (nyingi...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Hebu angalia hii kwa wenzetu Ufilipino bei rahisi mpaka unaogopa, hzi hapa kwa vyumba viwili vya kulala, sebule na jiko haizidi 50M, tena unalipa kwa miaka minne, unalipa around laki tano tu kwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hi wadau, Kama unajua mtu ambaye amewahi kuchora mchoro wa kiwanda kidogo eg cha kuproduce bidhaa mbali mbali kama vyakula, maji, nk yani plant layout, format ya kiwanda na related. Thanks
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Huwa naipitia hii page mara kwa mara lately, sasa leo nakutana na hili; Hivi kweli gari dola 27? Na utalitoa vipi bandarini au ndio litapigwa mnada? Sidhani kama wapo siriaz.
1 Reactions
63 Replies
10K Views
Naomba kujua juhusu madini jamii ya Copper kama Azurite. Upatikanaji wake hapa Tanzania Uchimbaji wake Matumizi yake Bei au thamani yake Wanunuzi wake wakuu hapa Tanzania Madhara yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Wakuu naomba kujulishwa,hivi mtu ukijenga nyumba kuanzia msingi mpaka usawa wa linapoanzia dirisha kwa mwezi mmoja je kitaalam kuna madhara yeyote? Nauliza sababu nimezoea...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hebu ndugu zangu naombeni ushauri na maoni yenu katika hili. Katika nchi zingine mtunzi anaweza akatunga script ya mchezo wa sinema/maigizo au nyimbo, akatunga kitabu, nk na kisha kazi hiyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu embu nipeni Kampuni bora ya mambo ya Hotel Management Consultation.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi jamani bei ya nyumba zinazouzwa na real estate agencies Tanzania zinaendana na kipato cha mtanzania?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujua kampuni binafsi zinazohusika na upimaji viwanja (Land survey) zilizopo Dar es salaam..
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi karibuni wizara tajwa hapo juu wametangaza vijitenda vya ku supply vitu mbali mbali. Lakini mashariti magumu yaliyowekwa kwa mshiriki, kuna nitia wasiwasi kuwa kumefanywa kwa makusudi ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zao la Korosho KWA UFUPI Ni baada ya kubainika kuwapo kwa vitendo vya kubadilisha madaraja ya korosho wakati wa kusafirisha. Mtwara. Wakulima wa zao la korosho nchini wako hatarini kupoteza...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Habarini wadau Kijana wenu nataka kua mjasiria mali.Nataka nianze ku supply kuku wa kienyeji kuku wa nyama katika mahoteli na migahawa mbalimbali.Point;Sitaki kuwa mfugaji bali nataka nikusanye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu.. Kama bandiko langu lapo juu linavyojieleza nahitaji msaada jinsi ya kukamilisha upatikanaji wa mkopo tajwa manke nimehangaika sana na sasa ni kama naelekea kukata tamaa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Inashangaza katika zama hizi za ushindani na utitili wa mabenk na financial institutions unaoomba mkopo unachukua zaidi ya miezi mitano! na sifa zote unazo au ndio mfumo wa wafanyakazi wenu kuomba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba msaada jinsi ya kutengeneza mifuko ya viroba na nitawezaje kupata mashine ya kutengenezea naomba mawazo yenu viroba kama cha sembe
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Moja ya mijadala ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikigonga vichwa vya Bloggers wa Kitanzania, ni hili la kuhusiana nah ii huduma ya Matangazo ya mtandaoni inayoendeshwa na kampuni ya Google...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
habari zenu wadau wa jf...nikiwa kama mjasiliamali naja kwenu kwa lengo la kunua biashara ya mtu yoyote, ambaye kwa sababu mbalimbali ameshindwa kuendeleza hiyo biashara..nachukua kama fursa ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutokana na mpango mkakati wa serikali wa mwaka 2012 mpaka 2017 ambao unalenga upanuzi wa makazi katika mikoa mbalimbali, kumekuwa na ongezeko kubwa la majengo ya makazi, majengo ya ofisi na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…