Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

DarProperty mortgage is a mortgage brokerage service provided by DarProperty Tanzania, this service give an application a wide knowledge, advice, support and guidance about mortgage finance in...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sepon Limited huduma zetu za umeme wa solar na backup system zinazidi kushika kasi kwa ubora, tunakufikia mteja popote ulipo na kukupa huduma bora kwa warranty ya mwaka mzima na huduma ya bure...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapendwa naomba mnisaidie; Nataka kusajili NGO inayohusu kusaidia watu wenye Mental and Physical Disabilities. Zitakuwa kuwa kama Home Care but more kama family, aim is to share life together...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mamboz, hamjamboz.. Tupitieni hii link tumsikilize mwenzetu aliyefanikiwa huku na sisi tukiwa na dreams zetu. Inshallah nasi tutafanikiwa. Bofya hapa.
0 Reactions
0 Replies
991 Views
Ningependa kupata ufafanuzi juu ya kuagiza nguo na kofia kutoka china. Sana sana ningependa kujua kaisari (TRA) anachukua kodi asilimia ngapi ya mzigo wanguo unaouingiza. Ningafurahi kama ningejua...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Ni matumaini yangu moo salama salimini. Mimi ni Kijana mwenye nguvu na ninayependa kujishughulisha sana. Natakiwa Nihame jiji moja Maarufu (Mwanza) na kuishi Masasi- Mtwara, kutokana na sababu...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wadau wa Jamii Forum habari zenu! Ninamalizia kazi ya kufanya Market survey ya magari Tanzania. Katika survey hiyo pamoja na mambo mengine nahitaji kujua idadi ya magari mapya yaliyonunuliwa...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Kama una uzoefu wa kufundisha drama , muziki au ngoma za htamaduni na ungependa kazi maeneo ya Kibaha Maili Moja-Kwa Matias Kibaha, niandikie barua pepe - resbijura@yahoo.com. Kuna opportunity...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CPM Business Consultants, ni Kampuni inayojihusisha na kutoa ushauri wa biahshara kwa Wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa. Pia inatoa ushauri kwa wa uendeshaji wa Mashirika yasiyo ya...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wadau Natafuta notes za zamani za Tsh 200 zilizokuwa na picha ya Nyerere kwa mbele na nyuma yake jamaa wanavua samaki kitu kama hicho!.. nitanunua kwa bei nzuri ya maelewano!!!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Unaweza kujifunza kitu kwa awa vijana wenye umri chini ya miaka 30 lakini kwa ubunifu na juhudi zao wamefanikiwa kuwa matajiri. LORNA RUTTO,Mkenya Ana miaka 28 ndio mwanzilishi wa ECO POST...
4 Reactions
47 Replies
12K Views
Habari wakuu. Naomba msaada juu ya taratibu za kufuata ili kuanzisha kampuni ya kutoa mikopo na usajili wake.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanahisa tupo njia panda...hisa zake haziuziki tena...hatujui hatma ya pesa zetu tulizowekeza.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wazo langu ni kufanya biashara ya Nguzo za Umeme, hapa Mufindi tumejaaliwa miti mingi ambapo tumekuwa tukitegemewa sana nchini pamoja na nchi jirani ya Kenya. Kama ningewezeshwa ningeweza kununua...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Sepon Limited inakupatia umeme wa solar na umeme wa backup iwe nyumbani au ofisini, Tunatoa huduma zetu za umeme wenye uhakika mikoa yote ya Tanzania bara na Visiwani. Tunatoa free service mwaka...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kwanza kabisa napenda kumpongeza Rais wetu kwa hatua kubwa aliyofikia na kubwa zaidi ya yote ni hili la sera mpya ya elimu.Siku zote nimekuwa naamini hakuna mapinduzi makubwa duniani kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna tofauti kubwa sana ukichukua 0-0=0 na ukichukua 100-100=0, kwa mtazamo wa kawaida unaweza usiione tofauti maana majibu yote ni 0. why that example? Nimekua nikichunguza watu wanaokwenda...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi, Mimi ni mfanyakazi mpya sehemu flani kwa mwezi wa 5 sasa ila nimeting'wa na ishu ya haraka inahitaji hiyo pesa. Kama kuna anaeweza kunikopesha kwa makubaliano genuine yenye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kampuni gani ina wateja wengi zaidi? Na ipi inaingiza mapato makubwa kwa sasa?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wataalamu wa mambo nisaidieni kukokotoa mahesabu ya kodi ya kulipata hili gari likifika bandarini hadi kwenye mikono yangu.Please mote that FOB $450, CIF $1718..Nimejitahidi na HY TOOL...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…