Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu natumaini wote ni wazima wa afya, mimi nimemaliza Diploma in Diagnostic Radiography katika chuo kikuu cha afya muhimbili (MUHAS). Malengo yangu ni kuendelea kusoma hasa kuwa cardiovascular...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu, Hivi kwa wale waliosoma India Kwa ngazi ya degree Kwa kudhaminiwa Kila kitu nilikuwa naomba kujua mbinu gani iliwasaidia kupata scholarship. Scholarship walipata vipi na je...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Habari zenu waombaji. Kuna aliefanikiwa?na kuwa alieambiwa hajapata? Wengine account zinasoma error sijui nini tatizo
2 Reactions
0 Replies
764 Views
Wanabodi, leo nilikuwa napitia sera mpya ya elimu nikaona niilete hapa tuijadili. Nini maoni yako?
0 Reactions
5 Replies
547 Views
Habari wadau wote wa JF. Kweny pitapita zangu za hapa na pale humu JF sijakutana na general thread yeyote iliyoanzishwa kwa ajili ya chuo cha afya na sayansi shirikishi muhimbili, bac nimeamua...
16 Reactions
61 Replies
6K Views
Askofu Mkuu Dk. Sylvester Gamanywa wa Wapo Mission Tanzania 🇹🇿 atatunukiwa u Profesa wa heshima kutoka Chuo cha Mipango Dodoma. Hafla hiyo ya mahafali itafanyika Novemba 4 ambapo Waziri wa Fedha...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Naomba Kujuzwa zaidi kuhusu chuo cha IAA kampasi ya DSM Msaada tutani, ninafikiria kwenda shule mwakani na chaguo ni IAA kusoma masters kwa mwaka mmoja, kuna mradi watanisapoti na kulingana na...
2 Reactions
6 Replies
661 Views
Nasisitiza nashauri kama wewe huna kipaji ni mtoto wa maskini au mzazi wa mtoto maskini achana na mambo ya art unapoteza mda na fedha
2 Reactions
7 Replies
880 Views
 Habari. Ikiwa unahitaji kujifunza Kiingereza kama English beginner unakaribishwa. Hiki kipindi cha likizo cha mwezi mmoja Kama Mwalimu napenda kujitolea hasa kwa jamii yangu. Ntafundisha mambo...
1 Reactions
2 Replies
396 Views
Habari za jioni wana JF,poleni na majukumu. Nahitaji msaada kwa anaefahamu chuo kinachotoa diploma ya famasia na wanafunzi wanaruhusiwa kuvaa mavazi ya kawaida na wala sio sare kama wavaavyo...
3 Reactions
5 Replies
950 Views
kama mada inavyojieleza wewe mwenye Nia yakujiendeleza kusoma chuo yaan open university na unakosa muda wakufika tawin Kwa ajili ya application, usijal nipo Kwa ajili Yako kukusaidia kuomba open...
1 Reactions
3 Replies
546 Views
Compare and contrast the product strategy used between Tigopesa and M-Pesa (linganisha na tofautisha njia ya mauzo wanaotumia tigopesa na m-pesa).
0 Reactions
0 Replies
296 Views
Anonymous
Wanafunzi wa UDOM college ya informatics wamekua na changamoto kadha wa kadha. 1. Ubovu wa miundombinu hasa choo kwa baadhi ya blocks(1 and 3) hali inayopelekea kushindwa kujisaidia na kupata...
1 Reactions
12 Replies
778 Views
Jamani nataka kuwalipa Loan Board deni Lao sasa ninashida na loan statement ili niweze kupata control number ya kuwalipa. Kwahiyo kwa anayewe kunisaidia namna ya kuipata anisaidie NATANGULIZA...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Unahisi kwanini sikuizi watu wengi wamekuwa wakisherehekea mwenzao akifedheheshwa mtandaoni na mara zote watu wakiwa upande wa kumdhihaki yule anae chafuliwa?
1 Reactions
2 Replies
274 Views
Ipi inatambulika Tanzania ,na ajira zake zipoje ,nawasilisha
1 Reactions
4 Replies
443 Views
Explain notes of business law according of human resources management?
1 Reactions
9 Replies
490 Views
Ipi inatambulika Tanzania ,na ajira zake zipoje ,nawasilisha
1 Reactions
2 Replies
546 Views
Kama usajili wako bado upo kwenye nacte lakini uliquit masomo hii inatosha kusema unaweza ukarudi na kuendeleza pale ulipoishia?
1 Reactions
1 Replies
919 Views
Habari zenu Wana jukwaa nimatumaini yangu wote niwazima mimi nimemalizaa kidato Cha sita mwaka huu komb ya CBG nikiwa na ufaulu wa biology-C,Chemistry-C na Geography-C , ninampango wa kuaply chuo...
5 Reactions
139 Replies
9K Views
Back
Top Bottom