Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nipo chuo nasoma Diploma in Clinical Medicine lakini nafikiria kuanza kilimo cha mihogo maeneo ya kisarawe naombeni ushauri, maoni mtazamo hata kama kuna idea tofauti msaada wenu 💡
2 Reactions
8 Replies
512 Views
Habari zenu wadau Nina D nne za masomo ya georgraphy, history, Kiswahili na Civics. Pia nina level three ya Fitter Mechanics je, naruhusiwa kuendelea na diploma ya mechanical engeneering kwa...
1 Reactions
0 Replies
348 Views
Wadau, Ukiondoa Maktaba Kuu ya Taifa, naomba kujuzwa kama kuna maktaba yeyote nyingine ambayo mtu yeyote anaweza akaenda kujisomea. Naomba kama unajua jina, location, utaratibu, gharama ya...
0 Reactions
9 Replies
868 Views
Wadau wa elimu. Huwa tunaanzia kufundisha watoto a e i o u Kisha ndio babebi... halafu ndo mambo ya 'Baba anakula nzige, aliyeng'ang'ania jani shambani'. Nani alisema kuwa ni lazima mambo...
1 Reactions
7 Replies
597 Views
Heshima mbele wadau, Kuna mtoto wa sister namsapoti kachaguliwa masomo ngazi ya cheti (certificate) kozi hizi; 1. IFM (Dar) - Certificate in Taxation 2. Mzumbe University (Moro) - Certificate in...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu. Naomba msaada kujua chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu kwa ngazi ya degree kwa mkoa wa Dar es salaam. Natanguliza shukran [emoji120][emoji120].
5 Reactions
64 Replies
4K Views
Wakuu msaada wenu unahitajika. Kuna ndugu yangu amesoma masomo ya Arts O Level lakini hesabu yupo vizuri. Huyu ndugu yangu anataka akimaliza form six asome bachelor ya IT. Sasa anachohitaji...
1 Reactions
5 Replies
897 Views
Habarini wapendwa. Ambaye amefanikiwa kufanya mchakato wa kukata rufaa ya bodi ya mikopo jamani atushirikishe. Hali ikoje huko?
3 Reactions
189 Replies
17K Views
Habar za leo ndugu zangu. Mwaka 2017 nilihitimu kidato cha nne na matokeo yangu hayakuwa mazuri kiasi cha kuridhisha. Mara baada ya kupata matokeo ya alama ya D tatu, nilikata tamaa na kushindwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu habari ya November Nina dogo yuko Dodoma ndani ndani Kijiji kimoja kinaitwa Ibedya amemaliza darasa la Saba amepata wasatani wa 'D'/amefeli naomba nifahamu inawzekana akaja Dar akarudia...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mwenye anajua machimbo ya Scholarship anbayo moaka Sasa bado yako valid for this academic year naombeni. Natanguliza shukrani
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau mnaendeleaje, Kijana wangu anapenda ,course ya Aircraft Eng, nilipenda kozi aisomee nje ya nchi hasa canada, Je kuna mtu yeyote anafahamu vyuo vinavyo toa kozi hii na gharama zake...
0 Reactions
5 Replies
869 Views
Naomba kuuliza wenye ufahamu na hiyo course ADIT (Advance diploma in international taxation) inayotolewa na chartered institute UK.
0 Reactions
1 Replies
512 Views
Anonymous
Kuna wanafunzi wa Chuo Cha SUA wanadai refund ya Hela zao za ada ila tangu semester iliyopita Mpaka Leo hawajapata Hela zao. Tunaomba mzungumzie hili swala wanafunzi wapate Hela zao. Hii refund...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Wana jf nahitaji kumjua ni nani mtanzania kutunukiwa uprofesa na ni mwaka gani!
0 Reactions
36 Replies
18K Views
Nimetoka kumchukulia dogo fomu ya mafunzo ya umeme Electrical Instillation ya muda mrefu VETA Chang'ombe. Sasa ameambiwa aje kwenye interview. Kwa wale wazoefu na ambao wameshapita ni maswali gani...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Nimefungua huu uzi baada ya kuona "dokezo" hili lililopostiwa hapa JF...
0 Reactions
5 Replies
674 Views
Alisoma: Primary: English Medium. O level: private. A. Level: government Occupation: 1. Baba: mkulima. 2. Mama: mama wa nyumbani. Dogo ndio anashughulika na appeal yake now. Anataka ata...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kiswahili - A, English - A, Maarifa - B, Hisabati - A, Science - A, Uraia - B, Average Grade - A Amemaliza katika shule ya English medium Mimi baba yake ni kichwa zaidi yake ila matokeo...
27 Reactions
90 Replies
4K Views
Habari wadau wa JF, Kama mmoja ya wazazi na wadau wa elimu pia, nimejaribu kutafuta huu waraka mpya ambaoo umetolewa novemba 22, 2023 na wizara ya elimu bado sijafanikiwa kuupata. Nimechungulia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom