Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri). Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Matokeo ya darasa la saba 2023 Necta imeweka wazi kuwa Matokeo darasa la saba 2023 yatatangazwa hivi leo kuanzia muda wa saa tano Ahsubuhi. Tunawatakia Ushindi vijana wote waliomaliza darasa la...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Site tunajua watoto wetu wa kidato Cha Tano waliaanza shule mwezi wa 8 badala ya mwezi 7. Hii ilienda sambamba na kubadilisha mihula na kupanga wasome mpaka 22 Desemba. Lakini hili limeshindikana...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Habarini wa Kuu, Nina imani wazima Mungu ana tubariki mpaka sasa na tunaendelea vyema na majukumu yetu. Kutokana na kasi ya mapinduzi ya Science hapa Duniani nimekuwa muhanga hasa nikiwa na...
2 Reactions
74 Replies
3K Views
Elimu yetu bado ni janga, kwa sababu kwa uchunguzi walimu wengi wa kike shule za msingi Tanzania hasa shule za serikali ni pasua kichwa Kati ya watu wanaodidimiza elimu yetu ni walimu wa kike wa...
10 Reactions
35 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakubwa zangu, mimi ni kijana wa miaka 19 nimemaliza kidato cha nne 2023, bahati mbaya sikufaulu kuendelea kidato cha 5, nikaamua niombe kusoma chuo cha veta kozi ya Welding and...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wasalaam,kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nashauri serikali ipunguze masharti kwenye vyuo vya ufundi(VETA) ili vijana ambao hawakupata nafasi ya kufika form 4 waweze kupata elimu ya VETA bila...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi hii kozi ya bachelor of sciance in radiology and imaging system inatolewa vyuo gani na ajira zake zikoje au ndo Ile unasoma kozi badae ukikosa ajira unashindwa kujiajiri anayefahamu ufafanuzi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu,wakubwa shikamoo! Nimepotelewa na cheti changu cha FORM SIX , Jumatano ya tarehe 13/12/2023 maeneo ya POSTA mjini MBEYA. Jina : DEBORA CHARLES MIHO Shule niliomaliza form six ...
1 Reactions
2 Replies
854 Views
Zamani mwanafunzi wa chuo kikuu alikuwa ni tanuru la fikra kwa jamii. Ilikuwa hakuna linalopita bila kuhojiwa na kudadavuliwa hadi mwisho ili kupata kiini na undani wa jambo husika kabla...
0 Reactions
1 Replies
482 Views
TAARIFA KWA WIZARA YA AFYA, NACTEVET,SERIKALI NA WANANCHI WOTE KUHUSU CHUO CHA ST.ALVIN INSTITUTE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE KILICHOPO MOROGORO MANISPAA. Nikiwa kama mdau wa elimu napenda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF, ndugu zangu hapa ni jukwaa la kupeana michongo na kubadilishana mawazo. Kuna jambo naombeni tusaidiane Mimi ni mwalimu na niko nje ya system I mean sijaajiriwa serikalini nafanya...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kati ya course hizi: bachelor of social works, bachelor of arts in natural resources and management na bachelor of arts in population and development ipi ni course nzuri Kwa upande wa Ajira na maslai.
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Kati kozi ya bachelor of education in psychology na bachelor of science in economics project planning and management ipi ni nzuri? Naomba msaada wa ufafanuzi.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani naomba kufahamishwa kwa anayeifahamu kwa ukaribu course ya Bachelor of Arts in Economics and Sociology.. mtu aliyesoma hii course ni kwamba anakuwa Sociologist na Economist kwa wakati...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu salaam, Awali ya yote namshukuru sana M. Mungu kwa nafasi hii adhmu niliyobahatika kupata. Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikihangaika kuboresha maisha yangu ndani na nje ya nchi. Mara tu baada...
17 Reactions
140 Replies
15K Views
Mkurugenzi mtendaji wa Mbinga mji hali ya vyoo vya shule ya sekondari Ngwilizi ni mbaya sana. Imefika wakati wanafunzi walio wengi wanaenda kujisaidia vichakani. Hebu wasaidieni Hawa wanafunzi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Wana JF, Nina rafiki yangu amemaliza chuo kikuu mwaka juzi sasa mwezi uliopita kwa bahati mbaya mvua ikinyesha akiwa yupo miangaikoni begi analowekea nguo na vitu vya muhimu akakuta...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni miezi sasa shule hazijapata ruzuku za elimu bila malipo. Kama walivyokiri kukosea kuweka hq ya mwendokasi jangwani na huku kwenye elimu bure wakiri kwamba hawakujipanga, warudishe utaratibu...
0 Reactions
3 Replies
495 Views
Back
Top Bottom