Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nauliza tu maana fikra za wazazi zinatofautiana Yaani kabisa unamwaminisha mwanao akimaliza Chuo Kikuu atapata Ajira Serikalini? I wish you a Merry Christmas 😀
1 Reactions
5 Replies
477 Views
Msaada Wana JF, Nashindwa ku log in ktk helsb account kila nikiweka details zangu inakuja. "No active account found with the given credentials"
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna shule nyingi zime simama shule kama Tusiime Zhabika St Ane Maria Fortune Sahara Abc school FOUNTAIN GATE ACADEMY GREENHILL PRIMARY SCHOOL MAJMAAL BAHRAIN PRIMARY STMAXIMILIAN PRIMARY SCHOOL...
1 Reactions
6 Replies
700 Views
Napenda kuuliza Biomedical science Kwa hapa Tanzania inatolewa chuo Gani?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna watu wanapata udaktari kwa dakika mbili (udaktari wa heshima) na wale wanaovuja jasho kupata huo udaktari. Sasa maajabu hao wa dakika mbili wanatukuzwa kwa udaktari huo utadhani bila kutaja...
0 Reactions
3 Replies
361 Views
Kijana JUSTINE JULIUS MFUNDO huyu mmoja wa vijana walio wengi wa KITANZANIA wanaopotea na uwezo mkubwa wa akili zao darasani sababu ya Taifa kutowatambua. Kijana huyu nimefuatilia matokeo yake ya...
13 Reactions
80 Replies
4K Views
Mtoto anakuwa boarding maisha yake yote, huko hafanyi kazi yoyote, hafui wala kukimbia mchakamchaka, tumeiga mifumo ya wapi huko? Na hapa ndipo chanzo cha kuharibu vijana wa nchi hii, Mtoto...
4 Reactions
12 Replies
690 Views
Nina dada yangu sasa nafikiria kutoa huku asante kotoko,hivyo mwenye kufahau au kuifahamu shule ya bweni yenye gharama nafuu anidokeze nifanye mpango haraka. Natanguliza shukrani
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Natanguliza salama, Wakuu, Naomba kufahamu kutokana na uzoefu wako kozi ipi veta ni nyepesi na rahisi kujiajiri mwenyewe. lengo nikupata mafunzo yatakayo saidia kujiajiri. shukuran.
1 Reactions
0 Replies
318 Views
Habarini wana JF, naomba kufahamu kozi ya Anaesthesia huwa inatolewa vyuo gani hapa Tanzania na vigezo vya kuisoma hii kozi vipoje, Nawasilisha
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Habari zenu. Nimeandika uzi huu baada ya kupata usumbufu wa zaidi ya miezi miwili nikifuatilia transcript, ili kushauri nini kifanyike kuondoa kero hii inayowakuta wengi. Kwanza itambulike...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
jf ni kisima cha maarifa , hapa kuna wadau wa kila aina. napanda tena jukwaani ,nikiomba ushauri kwa ajili yangu na kwa wengine pia. ndoto yangu ya kuzitumikia UN AGENCIES mfano...
3 Reactions
6 Replies
441 Views
Habarini wana JF, naomba kufahamu, je Kwa wanafunzi waliomaliza kozi ya clinical medicine wakiomba result transcript inachukua mda gani kuipata Kwa wanaochukulia ofisi za nacte za kanda na wale...
2 Reactions
0 Replies
742 Views
Habari Wana jamii ,Mimi nilikuwa nauliza kama unadiploma ya pharmacy je ukitaka kufungua pharmacy yako binafsi itabidi mpaka uweke cheti Cha mfamasia mwenye degree,na je cheti Cha mtu mwenye...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina diploma ya chemistry na biology. Nimegraduate 2018 mpaka Leo sina Ajira mwaka Jana Kuna rafiki yangu aliajiriwa akaniambia take home ni 480,000 Kiuhalisia mshahara wa 480k Naona ni Sawa na...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
193 Views
Hello wanajukwaa, Kichwa cha habari chahusika. Mining industry. Ninapenda sana kazi za migodini, at management level. Shauku yangu na ndoto yangu kubwa ni kufanya kazi (managerial position)...
0 Reactions
6 Replies
770 Views
Wasichana katika chuo kikuu cha Ardhi wameendelea kuibuka vinara kwa ufaulu dhidi wavulana ikiwa ni mwaka wa tatu mfululizo jambo lililotajwa kuleta matumaini katika usawa wa kijinsia katika elimu...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Ni jambo la kushangaza kidogo lakini hali halisi ndiyo iko hivyo. Wanafunzi wanaosoma vyuo binafsi kada za afya wamenyimwa "Ada" huku wale wanaosoma kada zingine mfano ualimu wakipewa japo kitu...
0 Reactions
8 Replies
757 Views
Back
Top Bottom