Wanajanvi,
Natumaini hamjambo na mmeamka salama.Nimejitahidi kutafuta contact za St.Clara girls Secondary School sijafanikiwa.
Mdogo wangu anamaliza la saba this year nahitaji kumuombea pale kwa...
Hivi jamani nikimbilie wapi nikapate msaada ili nipate mshahara kama wenzangu? Halmashauri nimeenda sana wanasema si kosa lao idara kuu ya utumishi ndio wanaosababisha nisipate mshahara mpaka leo...
Wakuu nipo Sumbawanga kwa muda huu, juzi nimetoka nilimpeleka mdogo wangu shule (amepangiwa Mambwe sec school) ila kwa kweli mazingira hayaridhishi kabisa, hakuna walimu na umeme pia hakuna, sasa...
Mimi ni mwalim shule ya sekondari Milambo Itobo nimehamishiwa Igirubi sekondari naomba kujua stahiki zangu kama mtumishi, Je Nni stahiki zipi ambazo ninatakiwa nilipwe?
Wakuu nipo hapa cafe na apply chuo kila napoandika passord inaniambia haipo. Nimekosea kujaza namba ya mtihani TCU nikilipa kwa mara ya pili itawezekana wakuu
Msaada tafadhali
Jamani mwenye tarifa za pesa za field tujuzane maana wengine tupo vijijin na hadi sasa hatujapata pesa za field na loarn board walikua hawajatuingizia hadi kufikia tar 20/ mwez huu sasa sijui kama...
mimi nimesoma degree ya kwanza elimu. nilitaka kusoma masters ya elimu pale UDSM na nasikia ada nikama million kumi. Vipi kunafaida ntaipata ili kurudisha pesa zangu? mshahara wangu utaongezeka...
Jamani mimi katika application za kuomba chuo niliamua kwenda kufanyia stationery kwa wazoefu but nikaambiwa katika kumbukumbu number niweke ile number ya form four ya kuanzia s...
Za mchana wakuu na wanajamvi kwa ujumla. Nina shida na nnaimani mtanipa ushirikiano katika kutatua shida hii. Ni hivi mwaka huu nimeomba vyuo kwa Mara ya pili na masharti yoote ya kuandika barua...
Jaman naombeni kama Kuna mwenye joining instruction biharamulo secondary anitumie kweny email yangu ya Mkilindi76@gmail.com au anibip kwenye no yangu ya 0719817920 Nitamtafuta anijuze japo Ada...
nina marks zifuatazo history c,civics d, geography d, maths f, biology b, kiswahili d, english d ya mwaka 2007 na nikarudia mtihani mwaka 2008 na nikapata kiswahili d, civics f, geography c...
Habari wanajamvi
Naombeni ushauri.mpaka leo sijaruhusiwa kufanya alication upya na naona vyuo vinazidi kujaa na mda ndo unayoyoma.nilipeleka barua tangia mwezi wa nne mpaka leo haijafanyiwa...
jaman mwenye ujuzi mzuri juu ya scholarship kuanzia ngazi ya diploma mpaka degree anisaidie jinsi ya kupata maana naangaika kwenye mtandao naona sielew tu naitaj ya nchi yoyote ile