Naamini mko poa wana jf.. mimi ni mwanafunzi nipo kidato cha sita, Naomba anayejua hatua za kubadilisha jina anisaidie kwani hli ninalotumia nilipewa nilporudia darasa la tano, natanguliza...
Wanajukwaa,kwa anayeifahamu shule ya Nia iliyopo Morogoro maeneo ya nane nane anijulishe taarifa hizi:-
1.shule imesajiliwa au ndio ipo kinagumashi?!
2.kiwango cha ufaulu kipoje kwa mitihani ya...
Wakuu kheri ya mwaka mpya 2015, baada ya kukaa kimya mda mrefu sasa nimerejea kwa kasi kasi ya ajabu, nitakuwa tofauti sana na mwaka uliopita. nitasoma maada zote za wadau na nitauliza maswali...
Ndugu wana JF naomba kuuliza, ninasoma mwaka wa kwanza chuo cha uhasibu Arusha .Nataka niombe chuo kingine mwaka huu.
Je nifuate hatua gani ili nitakapochaguliwa sehemu nyingine nipate na mkopo...
Habari yenu wana JF,Mimi nasoma EGM Pale KAHORORO BOYS,Ndoto zangu ni kusoma hesabu na computer. Swali langu: je, endapo nikifaulu vizuri advanced mathematics,nikachagulia kujiunga na chuo kikuu...
Naomba kwa yeyote mwenye mawasliano ya moja kwa moja loyola high school iliopo mabibo farasi iwe ni mwalimu mkuu,mwl wa kawaida au hata mwanafunzi pia hata akijitokeza mwanafunzi wa pale nimuulize...
Ndugu zangu, naomba usaidizi.
Kulikuwa na tetesi wakati fulani eti viongozi wa Tanzania walikuwa na nia ya kuanzisha mfumo wa kutumia kiingereza kama medium of instruction katika shule za msingi...
Kutokana na kichwa cha habari hapo juu,mm ni mwanachuo wa chuo fulan hapa TZ,nachukua degree ya elimu(UALIMU) nimekosa mkopo na mm ndo nahangaika mwenyewe huku na huku ili niweze kupata university...
wasaaalamu wakuuu...
nimepata taarifa zisizo rasmi katika likizo hii kuwa kuanzia January mwaka 2015 wakuu Wa shule wote ambao hawana degree wanatakiwa watolewe wawekwe wenye degree je kuna...
Baraza la mitihani la Tanzania NECTA linatarajia kuanza kutumia mfumo mpya wa upangaji matokeo ya mitihani ya mwisho yaani FE kuanzia mitihani itakayofanyika NOVEMBER,2014 na kidato cha sita...
Nafundisha masomo tajwa hapo juu kwa O level kwa full au part time maeneo ya Morogoro mjini na maeneo ya jiran pia kama vile mzumbe,mikese,kingolwira etc.
Contact: 0684606935
Udhamini (scholarships) ni zawadi hivyo mtu akipata hana jukumu la kuilipa , Duniani kuna aina mbalimbali za udhamini zaidi ya maelfu kwa maelfu , zikitolewa kwa vigezo mbalimbali kama vile Watu...
Zaidi ya wanafunzi elfu 28 (28,000)wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vikuu mwaka huu kukosa mkopo. Hizi ni taarifa za kuaminika kutoka bodi ya mikopo. Sasa je! wanafunzi hawa elfu 28 wote wataweza...
Wadau naomba kujuzwa kama kunataasisi inayodhamini masomo ya ngazi ya udhamiri kwa wanafunzi wanao taka kusoma kozi za linguistics hapa nchini hata kama ni kwa mwaka mmoja Nina GPA ya 3.9 from...