Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Samahani ndugu zangu wana jamii forum naomba kwa yeyote anayefahamu anisaidie ni wapi naweza kuwapata hawa sponsors kwa ajili ya masomo yangu ya degree. Ni kutokana na hali ilivyo mbaya kwenye...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Accountability is one of the key principle of good governance. However civil servants are resisting being accountable to the people. With relevant examples discuss this statement and provide...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Awe msichana Awe na certificate au diploma Awe tayari kufanya kazi mkoa wa morogoro vijijiji mshahara si chini ya laki 2 na nusu. nb: shule ni mpya bado ipo kwenye majengo ya muda. mimi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
naomba kutajiwa shule nzuri za private zenye combntn ya PCB Zilizopo dar na ada isizidi mil 2 ahsanteni na heri ya mwaka mpya.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwalimu wa masomo ya computer na kiingereza anatafuta kazi,pia ana uzoefu katika ku repair computer kwa sababu ana advanced diploma ya it na advanced diploma ya lugha ya kiingereza,ana uzoefu wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta wa kubadilishana aje wilaya ya Mufindi Nyololo sekondary na mimi nije wilaya ya Mbozi popote idara ya sekondary. Mawasiliano;0755814442
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Habari wakuu.. Msaada wa ushauri kwa hili. Ni kozi gani nzuri kwa level ya diploma kwa mtu aliye soma mchepuo wa PCB Na kupata division 3 ya point 13.
2 Reactions
19 Replies
7K Views
Niaje wakuu, Basi kwa wale university graduates wenzangu katika tasnia ya banking and finance ambao wanatarajia kufanya mitihani ya TIOB( Tanzania Institute Of Bankers) kwaajili ya cheti cha cpb...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Jamani mimi mimesoma BED PSYCHOLOGY lakin Bed psychology especially PSYCHOLOGY ni pqna sana na kuna kuna course kibao kama Education psychology.Aging Psychology.Industrial psychology.Women...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
nawapenda wote,mwaka mpya wenye mafanikio tele.
0 Reactions
1 Replies
674 Views
Kuna tetesi na minong'ono kuwa Mtihani kidato cha sita mwaka 2015 ambao ulitarajiwa kufanyika mwezi Mei,Sasa umerudishwa nyuma na utafanyika mwezi Machi. Sababu ikiwa ni suala zima la uchaguzi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Kama kuna yeyote anajua jini barua za kazi za serikalini naomba tusaidiane ndugu zangu au km una ata sample sio mbaya ukanionyesha
0 Reactions
11 Replies
22K Views
Habari za asubuhi wana jamvi.kama kuna mwana jamvi yoyote anayejua fee structure ya shule ya haven of peace (HOPAC) ningeomba anifahamishe
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Aje geita wilaya ya chato mimi ni hamie wilaya ya RUNGWE mbeya(mwl.msingi) kama yupo kutoka RUNGWE tuwasiane.0769056633
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi...! Kuna mkasa hapa umenishangaza kidogo. Kumekuwa na tabia ya wakuu wa shule kuhujumu Baraza la Mitihani kwa kupeleka walimu kufanya marking ya masomo wasiyofundisha wala...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
Aje GEITA wilaya ya chato mie niende wilaya ya rungwe mbeya.kama upotayari nicheki kwenye no.0769056633
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Aje geita wilaya ya chato mimi ni hamie wilaya ya RUNGWE mbeya(mwl.msingi) kama yupo kutoka tukuyu tuwasiane.0769056633
0 Reactions
10 Replies
1K Views
I find this to be the most exciting news for those into physics and the science of nature of particles. Pundit na wenzake must be jovial about this. I have been following news about this for a...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Msg
Natafuta kazi ya ualimu ,mimi ni graduator wa diploma mwaka 2014 kwa masomo ya Biology na geography ila chemistry pia naiweza,sitaki tempo nataka shule za private PM 0752947177
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Nawaza kuwa na ka factory kakutengeneza toothpics any idea?
0 Reactions
2 Replies
907 Views
Back
Top Bottom