Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani wandugu naombeni mnisaidie sana
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Wasalaam WaKuu, Napata Mkanganyiko Kidogo Kuhusu Masomo Anayopaswa Kufanya Mtu Aliyesoma Digrii Ya Uhasibu, Je,Anaanzia Intermidiate Stage Au Final Stage?? Mwenye Kujua Aniondoe Kwenye Hiki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Starting date: 14.07.14 Time: 1530hrs - 1800hrs. Place: Kwa Komba (Bwiru- near Hotpot) Contact: 0755 42 88 33
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mimi navyoona hatukupaswa kutoa sarafu ya shilingi 500, kama kigezo ni kuwa noti inachakaa kwanini tusingeimarisha hiyo noti kwa kuchapicha noti ya 500 yenye ubora???? ebu wadau mliosoma changieni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mimi navyoona hatukupaswa kutoa sarafu ya shilingi 500, kama kigezo ni kuwa noti inachakaa kwanini tusingeimarisha hiyo noti kwa kuchapicha noti ya 500 yenye ubora????
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada wenu kuna binti yangu amechaguliwa form Five HGK, kwenda shule ya Kiwele.Lakini nimefuatilia nimeambiwa kuna Kiwele mbili moja ipo Iringa na Nyingine Tabora. nimeshindwa kujua...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Khabari zenu! Nimelazimika kuanzisha uzi mwingine almuradi tu kama ntapata mwitikio Maana Juhudi zangu hazipati sululu. Jamani naomba ntumieni Joining Instruction ya Ndanda tafadhali wapendwa...
0 Reactions
2 Replies
940 Views
Jamani kwa anae jua anieleze sifa za kujiunga na uwalimu ngazi ya cheti na dilploma
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanajf habari zenu? Nafahamu humu wengi ni wasomi na pia wameelimika vyakutosha kiasi ambacho kinawawezesha waishi maishi ama wayapendayo ama wasioyapenda. Vijana wengi wamekua wakifanaya maamuzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wapendwa. tafadhali anaemfahamu mwalimu yeyote aliopo nganza secondary naomba anijulishe tafadhali asante
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajf naomba mnisaidie tofauti kati ya msomi na mwanazuni na ili mtu aitwe msomi au mwanazuoni anatakiwa awe na elimu kiasi gani?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wadau nisaidieni shule ya mkwalama iko wapi? Kijana wangu amepangiwa huko. Asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Njoo singida- iramba nije mbeya -mbalari, njombe-makambako, iringa 0759052464
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni vizuri tujuane na tuhabarishane kuhusu taaluma hii kwa wale walio tuma maombi,karibuni sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mwenye joining instruction tukuyu secondary naomba tuwasiliane 0753539620 erastolukelosam@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Msaada wana jf mimi nilipenda sana kuomba maombi ya vyuo vya afya tangu mwezi mei, sasa kutokana na sababu ambazo zilikua nje ya uwezo wa familia hatimae nilikosa hela ya maombi ambayo ni sh.30000...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
IKIWA KUMWONA DAKTARI HOSPITAL NI SH. 5000 HADI 10000/ kugonga muhuri mahakamani 5000/ BASI KUANZIA SASA HATA SHULENI Pia KumuonaMWL MKUU AU MKUU WA SHULE ni Tsh.5000 hadi , 10000/, MTAALUMA ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
IT
Chuo gani bora hapa tz kinachotoa course za Information Technology(IT)? Ningeomba kama inawezekana nipate na website yake.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…