Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
  • Closed
Poleni na majukum wakuu, kama kichwa cha habari kinavo jieleza jana usiku nilipokea cm kutoka kwa mwanafunzi X wa chuo cha afya tabora kijulikanacho kama TABORA COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Habali wakuu? Poleni kwa mishemishe za hapna na pale.Mimi natafuta college za nje ili niweze kuapply sabab binafisi natamani sana kwenda nje hii ni ndoto kubwa ktk maisha yangu ambyo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habar wana JF Naomba kujua mtu anaesoma sociology anakua nani apo baadae na anapata kazi gani yenye msahara upi.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Cheti kikubwa kuliko chote ni cheti cha F.4 hiki wengi hawajui. Kimsingi cheti cha F.6 hakina ishu kabisa labda kwa wale wanaopenda mambo ya afya zaidi maana hiki cheti kina matter sana huko...
13 Reactions
42 Replies
3K Views
Wakuu Hii kozi ya mass communication inatolewa kwenye chuo gani ambacho kipo dar es salaam ukiachana na UDSM, na ada zake zipoje maana nimejaribu ku-google ila naona mapicha picha tu.
2 Reactions
13 Replies
937 Views
Wakuu, kwema? Hii kitu sijaielewa naomba kueleweshwa, nimepita kwenye account ya dogo ya HESLB nimekuta kuna Additional loan ya kama laki 4 kwenye upande wa tuition fees,nimemuuliza dogo nae...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu Nahitaji Kujua Shule Nzuri Na Affordable Kwa Kijana Mvulana Anayeanza Kidato Cha Kwanza. Mawazo Yenu Tafadhali. Iwe Ya Private Na Yenye Mchepuo Mzuri Wa Kingereza
0 Reactions
23 Replies
12K Views
Sasa tumekaa nyumbani wiki tatu, halafu kesho tunafungua chuo unakutana na tangazo kwamba mwanafunzi yeyote hatoruhusiwa kusain stihaki hadi pale atakapopata kitambulisho (ID) ya mwaka mzima...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ipo siku walimu wataamka, Ipo siku walimu watasimama, Ipo siku walimu wataamua, Ipo siku machozi yao yataisha, Ipo siku walimu watapewa heshima wanayostahili, IPO siku watatambulika kama Watu...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Salaam. Wakuu natafuta mtu aliyeko Canada kimasomo kuna mambo nahitaji msaada wa haraka. Asante.
2 Reactions
2 Replies
542 Views
Habari za muda huu wadau wa elimu,bila kupoteza muda nisonge kwenye mada husika; Nimejaribu kupitia kalenda ya masomo iliyofanyiwa marekebisho,lakini kuna makosa kadhaa yamejitokeza hasa kwenye...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Japo sio shule zote ila shule nyingi hakuna mwalimu anayedhalauliwa na kunyanyasika kama mwalimu wa kujitolea sio na walimu hata wanafunzi pia baadhi ya wanafunzi wakijua mwalimu wa kujitolea huwa...
3 Reactions
41 Replies
4K Views
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wale wanafunzi wanaongoza ngazi ya sekondari hasa kidato cha tano au cha sita ni vipanga halisi ambao wanapatikana kwa kujua vitu vingi na kuwa serious kwenye masomo...
17 Reactions
77 Replies
10K Views
Amani iwe nanyi katika kipindi hiki cha mifungo ya kwaresma na ramadhani. Tuendelee na toba na sala/dua ili mwenye enzi Mungu atusamehe dhambi zetu pamoja na adhabu na laana zake, ili mwisho...
1 Reactions
2 Replies
399 Views
Kalenda ya mihula ya shule kwa mwaka huu 2023 haieleweki Kuna isyosema kufungua ni 17/4/2023 na nyingine 11/4/2023 ipi Iko sahihi? Walimu tusaidieni maana Kuna mipango ya kifamilia inaharibika...
4 Reactions
40 Replies
7K Views
Viongozi wenzangu, Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ufuatiliaji unaofanyika shuleni na OR TAMISEMI Umebaini mambo mengi ikiwa ni pamoja na: 1. Baadhi ya walimu ktk Shule...
1 Reactions
5 Replies
627 Views
Nahitaji mwalimu mzuri wa form five masomo ya physics na Maths crash programme ya siku 7.
0 Reactions
2 Replies
468 Views
Hello, Kuna idea ya app ya habari worldwide naifanyia kazi, ningependa kushirikiana na mtu wa journalism. Itakua vizuri kama atakua mwanafunzi anayejua kuandika english nzuri, mwenye computer...
0 Reactions
0 Replies
295 Views
Mfumo huu (excel template) unauwezo wa kukusanya matokeo y shule hadi 100 na kila darasa linachukua wanafunzi hadi 400. Ni template ya O-level, inatumika kwa: -Pre mock exams -Joint examinations...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tujadiliane, Ufumbuzi wa ugumu wa kufundisha somo la hesabu Tanzania umeshindikana na kufanyika janga la taifa. Nadhani warasimu waliokasimiwa jukumu la kuleta mfumo rafiki wa ufundishaji hesabu...
9 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom