Wakuu naomba msaada kwa hili,
mdogo wangu ni mmoja kati ya waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2013,
sasa nimeangalia matokeo yake yameonyesha kama ifuatavyo,
CIVICS C...
Poleni na majukumu wakuu.,
nilikua nafuatiria maswala ya scholaship wakaniambia nitafute chet cha kiingereza na pasport ya miaka kumi kwenda nchi yoyote, sasa shida inakuja jinsi ya kupata cheti...
Katika Pita pita zangu na kupekua nimekutana na hii kitu imenivutia sana na nimetest iko vizuri,kazi nzuri vijana tutafika tu;
Namna ya kupata matokeo katika simu ya mkononi bure bila kulipia...
Hi,
Ndugu wasomaji wote.
Tunaposema mambo ya udini,wale wanao kuwa wanataka kubadilishana vituo ili warudi kwao huwa wanataka nini?
Walimu walio wengi huomba kurudi kwao ili mwisho wa siku walimu...
Eti kama umepata C 3 labda na D 3 ikiwa na combination hazija kubali vipi unaweza kwenda #ADVANCE ( Private ) , Na je ni Shule gan wanazo kubali hizo C 3 na zipo wapi?? Msaada jaman kwa...
Haya ni maajabu nan tumuamini kwenye ELIMU?
PR.SMCHOME aliutangazia uma kuwa kiwango cha madaraja ya ufaulu kimenyumbuliwa, IKAPINGWA NA JAMII
HON:MULUGO akaikataa pale bungeni na HON:LUKUVI...
kwanza niwape hongera kwa kumaliza form 4, pia hongera kwa wale wote waliowawezesha nyie kufika hapo wazazi, pamoja na walimu, nachotaka kuongea na nyie hapa nikuhusu haya, matokeo yenu ambayo...
Yupo kijana mmoja kapata Div.0 ya point 43 yenye D-1, E-4 na F-2 ambapo D=5pnts, E=6 na F=7.
Hapo utaona mantiki ya kuwepo kwa Div5. Kwa kuwa NECTA wameongeza alama za 'B+' yenye pointi 2 na...
Seriously am running with the family causatives and comfricts amang themselves leading me to seek out responsors of paying my collage fees.
Throught ICT empowering [information and communication...
Nimejaribu kugoogle matokeo tajwa hapo juu yaani form 4 waliomaliza mwaka 2005 sijaona napata tu 2006 na kuendelea pliz mwenye link ya huo mwaka pamoja na formsix mwaka 2008.
Jamani ni pride ilioje? We are in the top 10,
and we appear 2 times in the top 100!
watani zetu wanaonekana mara kibao,
but kuna tofauti kati ya qtty na qlty baby! lol
cc Smatta et al
1...
Wana Jukwaa,
Aliyekuwa Mwalimu mkuu wa Idodi Iringa na aliyekuwa second master kigonsera Sekondari - Mbinga miaka ile amefariki dunia leo hospital ya Muhimbili kwa maradhi ya kisukari
Innallilah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.