Elimu ya tanzania imedumaa na isiyo na mabadiliko siku hiz iki masomo vijana wa form one wanaenda mashuleni bila kujua kusoma ajabu sana hii elimu ni duni kwelikweli lakini ukweli maafisa elimu...
All the best to all university students who have started their UE and to SUA students who are going to start tommorow, may almighty GOD be with you to the end.
Ndugu wanaJF habarini za weekend? Bila shaka mu wazma wa afya njema! Kuna jambo limetokea kwnye shule ya wavulana mbali na kwamba mdogo wangu naye na mhanga wa tatizo hilo pia naona ni...
Naomba ushauri juu ya chuo bora cha kusoma Postgraduate diploma in procurement and supply management hapa Tanzania.Je,katika mitihani ta bodi ya ugavi,mwenye kiwaango hiki cha elimu anaanza na...
Degree program; AGRICULTURAL ECONOMICS & AGRIBUSINESS [AEA] 2nd yr - SUA
Muda ni kuanzia mwezi wa nane...
Priority areas..:Kanda ya kaskazini especially Arusha & Kilimanjaro
WanaJF,
Kwa siku ya nne (4) hostel za Mabibo hazijafanyiwa usafi na watoa huduma wa kampuni mojawapo iliyoingia mkataba na chuo kikuu cha Dar es Salaam kufanya hivyo.Taarifa zilizozagaa ni kwamba...
Wadau nimejaribu kusurf kwenye blog ya mzumbe university kucheki academic year yao Uzamili inaanza miezi ipi nimekosa kabisa.
Kama kuna mshika dau yeyote anijuze.
Wadau nilikuwa nauliza hivi, inawezekan mtu kamaliza kidato cha nne mwenye daraja la tatu kujiung na stashahada moja kwa moja?
Nasikia st. John Dodoma wanatoa hiyo, inawezekana kweli?
2007,nimehtm kdato cha nne,2010 nimehtim cha sita,the same year nikapata chuo na mkopo kwa asilimia 30,maisha yalikuw magum pale chuo,nikasoma miez mitano,semister ya kwanza,ya pili nikaacha chuo...
Udahili wa pamoja kwa wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga sekondari za umma na za binafsi, nauona kama ni mpango uliofeli hata kabla ya kuanza. Mpango huu, ambao haujawahi kujaribiwa na nchi yoyote...
Ninatafuta shule au mtu binafsi wa/ya kufundisha kwa muda wakati nikisubir mda wa chuo ufike, ninafundisha physicS,chemistry na biology...nina uzoefu wa kufundisha masomo hayo kwa ngazi ya...
jamani hiiis hule enzi zetu iliwahi kutinga tano bora kipindi kile ilikuwa mchanganyiko lakini tangu iwe ya girls mambo si mambo ni kama haipo vile kunani jamani mi nasikia uchungu
Workers' Solidarity Songs
Solidarity Song;
Solidarity forever,
Solidarity forever,
Solidarity forever,for the union makes us strong.
In Swahili:
Wimbo wa mshikamano
Wafanyakazi...
Ni chuo kilicho na ukiritimba,wizi wa fedha katika serikali ya wanafunzi na pia ni chuo kinacho ongozwa kwa ubabe wa MAKAMO MKUU WA CHUO TAALUMA Mr ZILIONA. Chuo hiki kimekuwa kikitafuna fedha ya...
Habari wakuu..
Naomba mwenye kujua anisaidie,mm nasoma chuo kimoja hv kozi ya BBA,lakn nmekutana na changamoto znazonkwamisha katika masomo yng sasa ngependa kujua je inawezekana kuhama chuo...
Nakumbuka tulikuwa tunajita Milambo men's na kwa kujitenganisha na Tabora boys, ugomvi wetu na tabora boys, tuliukuta na tukauacha, nakumbuka tuligoma kula mpaka mkuu wa shule kipindi kile anaitwa...