Arxiv.org ni sehemu ya wasomi kusoma na ku kuchapisha papers za kiuanazuoni.
Uzuri wake ni kuweza kuchapisha na kusoma papers mtandaoni bila ukiritimba sana.
Kuna Watanzania wanaotumia Arxiv.org...
Jamani kama kichwa kinavyoieleza.
Namtafuta mwalimu mtefu mara ya mwisho nmeachana naye 2010 mwezi January yeye alikuwa anafundisha Meta sec school pale Mbeya somo la history.
Naomba kwa yeyote...
I normally think about this reality and get lost on its logic. Why is it so? How can you say that something negative once multiplied results into positive? Is it really correct? Or we swallow the...
Mimi ni mwalimu wa 'Physics' na 'Chemistry' (kwa sekondari), ninaweza pia kufundisha hisabati na sayansi kwa shule za msingi maana nimeshafundisha kwa miaka miwili), ninafanya kazi na kuishi Dar...
Habari wa kuu, kama Heading inavyojieleza, naomba msaada wa kufahamu ada ya kujiunga na Bodi ya Tehama.
Nachofahamu kuna 20,000 ya kutuma maombi na Kuna pesa ya Usajri.
Mwenye anafahamu msaada...
Naomba kuuliza wadau.
Hivi ukichrewa kusaini pesa ya kujikimu, pesa hiyo itarudishwa bodi na hutopewa tena hata ukisaini au inakuwaje?
Naomba kujibiwa.
Hello wanafunzi wa vyuoni hususani wa degree za accounting, poleni na mihangaiko ya quizzes, tests, assignments, presentations, discussions bila kusahau misuli ya mwisho mwisho kupukuta gpa.
Kwa...
Salaam wana jamvi,
Matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea. Straight to the point, tukumbuke enzi za kitabu, kiukweli kuna topic ziliwahi nisumbua wakati nasoma moja wapo ilikuwa...
Habari,
Kama juzi kati mliona ilikuwa inavuma sana mitandaoni baada ya Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kuweza kuibuka kinara Africa Mashariki na Africa ya Kati kwa kuwapiku vyuo...
What is career?
A person’s course or progress through life. It also pertains to his occupational or profession that usually involves special training or formal education and is considered to be a...
Kichwa cha habari cha husika!!
Nahitaji mtu ataenipa shule ya vitendo ya excel!!
Nitalipia!!
Kwann sijaenda vyuo/Taasisi
-Ok mm sina muda nafanya kazi kwaiyo siwezi kuendana na ratiba za huko...
Dr. Jakaya Mrisho Kikwete has re-appointed Prof. Bonaventure Sylvand Ishengoma Rutinwa to the position of Deputy Vice Chancellor - Academic from 2021/2022 to 2024/2025 effective from 1st December...
Naomba kuuliza,
Kwa matokeo haya form 6 je, unaweza soma course gani chuoni na kwa Level gani?
H-F K-E L-E na GS -E Division iii point ya 17
Je, mtu huyu ataenda kusoma course gani ambayo...
Wadau naomba ushauri huyu mjukuu wangu he kwa matokeo aya anaweza kwenda kusoma kozi gani au chuo gani
General study E
History E
Geography E
English D
Ana dv 3 ya 14
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.