Ndugu wanajamvi,
Nimejaribu kusearch kwenye internet kuona kama naweza kupata taarifa mbalimali hasa katiba yao kwenye internet sijafanikiwa.
Kwa mwenye kufahamu anijuze,kwasababu kwa karne hii...
Habari za majukumu wana JF..., Naomba kujua TAASISI inayohusika na suala zima la VYETI VYA KUGHUSHI ili niweze kutoa taarifa juu ya hilo. Tafadhali unapojibu nipe na ADDRES ya taasisi husika kama...
Ndugu wana JF. Ofisi ya tigo (kontena) iliyopo mji wa KAHAMA tokea tarehe 20 hadi 22 novemba, 2013 imeshindwa kuwahudumia wateja wake eti kwa sababu hawana jenereta kwa ajili ya kuwasha kompyuta...
Nina vigezo vyote vya kuomba scholarship fulani kupitia TCU isipokuwa kigezo kimoja tu: umri umevuka mstari, yaani nina miaka zaidi ya 25, kwa sura nina baby face si unajuwa watu waliozaliwa 197*...
Kwa kutumia mfumo
mpya ufaulu wa
Kidato cha Nne
mwaka jana
ungekuwa asilimia 94 Dar es Salaam.Wakati Mtihani wa Taifa wa
Kidato cha Nne nchi
nzima ukiendelea,
imebainika kuwa
madaraja na...
Igweeeeeeee.......! I'm a Literature in English teacher and I've been seeking for the mentioned subject syllabus for four years now but to no avail. I went to the TIE offices and bookshop only to...
Use your TV decoder to get superfast, free and unlimited access to the internet!
Follow link: HOW TO-ACCESS-FREE, UNLIMITED INTERNET VIA DECODER - --------------------------------------- HOW SCIENCE
Ni takribani miezi nane sasa tangu nianze kufuatilia uendeshaji wa chuo cha Ualimu Songea kama kinaweza kuendana na kauli mbiu ya sasa ya Serikali ya Big Result Now (Matokeo Makubwa Sasa)...
Tukifanya yafuatayo zinaweza kuepukwa
LEO nimeona nami nianze kuweka mawazo yangu kwenye maandishi. Japokuwa kwa sasa ni kiongozi wa serikali, naamini nafasi hiyo haininyimi fursa ya kutoa...
Jana wanajumuiya ya udsm walipata bahat ya kumsikiliza nguli wa fasihi na lugha afrika na dunian kwa ujumla prof ngugi wa thiong'o aliongea mengi kuhusiana na lugha za kiafrika kumezwa na lugha za...
Ndugu wana JF. Nimegundua wakuu wengi wa shule hupenda kuabudiwa kwa kujifanya miungu watu mashuleni. Nimeyaona haya kwenye shule kadhaa za sekondari. Endapo kuna walimu wanaopenda ukweli na uwazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.