Naomba kufahamishwa endapo barua ya uhamisho kutoka mkoa 1 kwenda mkoa mwingine ikipotea mkoani kwa mtumishi, hatua gani mtumishi anazotakiwa kuchukua pale mkoani ilikopotea?
Kwa wale walioomba nafasi mbalimbali za certificate na diploma Muhimbili kwa mara ya pili watembelee website yao majina yametoka,,,au tpia jina hapa tukutaftie km umepata nafasi,,
thanks
Nimetoka kwenye kikao na waziri wa mikopo wa hapa MUCCoBS maswali tumemuuliza karibu yote kashindwa kuyajibu!! tatizo huyu waziri anaogopa kukubali kwamba kuna uzembe kwenye idara husika(Loan...
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
POSTGRADUATE STUDIES FEE STRUCTURE
Nimekuta total fee ktk fani za sayansi na biashara ni tsh.
6,375,000/= kwa 18 months na tsh. 8,500,000/= kwa 24months...
Wasalaam waungwana
Ninaomba msaada kutoka kwenu, mimi ni mwanafunzi ambaye ninatarajia kufanya mitihani ya PSPTB hapo mwakani mwez wa tano.
Nimesikia pale buguruni kuna kituo kwa ajili ya review...
Swali linahusu ulaji wa mafuta kwa magari.Nimewahi kumsikia mtu anasema kila gari lenye CC chini ya 1500 hilo halili mafuta, so kwa watu wa chini watafute magari kama hayo akawa anataja magari...
habar waheshimiwa natumain mko safi....
naomba kuuliza et ninapenda kusoma computer science sasa sijui ni comb gan A level nasitahili nisome ili nitimize malengo yang au kama kuna alternative ya...
Click/ the link below:
http://www.bunge-alumni.or.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=62:launching-of-bunge-primary-alumni-association-website&catid=34:news?Itemid=18
Spread the word...
wanafunz hao wanadai kuwa mtihani hauna viwangi, cku ya kwanza wameingia kwany paper history 1, wanafik ndani wanapewa paper2, pia mtihani badal ya kuandikwa
Like zone umeandkwa MWANZA REGION...
mwanafunz m1 wa muce alitaka kujiua kwa kunywa sumu baada ya kutambu kuwa yule honey,laziz,kapeti,king'amuzi wake anamtandao wa mabwana kumbe hayupo peke yake
Tafadhali naomba kujulishwa shule kumi bora kitaifa kwa mujibu wa matokeo ya mtihani wa Taifa darasa la saba 2013.
Soma Pia matokeo mengine kuanzia mwaka 2008
Matokeo ya Mtihani wa Darasa la...
Nimeshangazwa na utaratibu wa hawa wajasiriamali wenye shule za majina ya watakatifu.Watoto wameachwa stendi leo na gari ya shule ya St.Hellen kwa kile kinachodaiwa hawajamaliza ada ya...
Ukisoma mtandao wa wizara ya elimu mpaka sasa utakuta taarifa ya katibu mkuu kuhusiana na madaraja na alama katika mitihani
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA...
Naamini kila alichokiumba Mungu ni sahihi na kakiumba hivyo kwa sababu yake na Mungu hakufanya kosa hata kidogo, pamoja na ukweli huo bado wanadamu tumejifanya wajuaji, unakuta wadada wanajichubua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.