Ndugu wadau. Napenda kufahamu endapo mtumishi wa umma amepoteza salary slip anatakiwa aende wapi ili aweze kuipata tena kama ile iliyopotea au hata mbadala wake?
Habari wadau,
How to calculate the quantities of ingredients of concrete(i.e cement,sand and aggregate) of known grade
e.g grade c 20 (1:2:4) ,for 1cubic.m of concrete.
Karibu kwa mchango wowote...
Jamani wadau natafuta kitabu hiki kwa udi na uvumba mwenye msaada jamani ajitokeze.
Educational planning and administration by .Emanuel BAbyegeye.the open university of tanzania fuculty of...
Kwa mahitaji yako yote ya ushauri pamoja na uandishi wa kitaalam wa CV, miradi, business plan na professional letters kama transmital letter!!!!!
Kwa bei nafuu kabisa tuwasiliane
+255 766 909 880...
Habari njema kwa wanafunzi wa SUA wakati tukisheherekea kuwaaga dada na kaka zetu waliohitimu leo... Ni kwamba majina ya loan beneficeries yamebandikwa kwenye ubao wa matangazo pale Freedom...
Hivi kwa nini?assistance lecha hasa wa social science mnawapiga bit wadogo zetu kwamba lazima umkerishe koz wakiwa mwaka wa 3,tena unajisifu na kutaja list ya watu uliowakerisha ambao wamesoma...
minaona wakati mwingine mtu unafanya maisha yakawa magumu mwenyewe, mtu unachagua education sua, ukija huku kwa semista unasoma cozi tisa natena nyingine hazina mahusisno kabisa na ualimu, baada...
Jamani kwa mwenye namba ya simu ya mkurugenzi wa bodi ya mikopo anisaidie niweze kufanya mawasiliano nae kupata confirmation, mwanzoni tunaripoti chuo tulipata rumours za kuongezewa ada lakini...
We help students from Tanzania and other African countries find admissions in the best affordable accredited international universities and academic institutions. We provide support in...
Wahadhiri Chuo cha Uhasibu Arusha wagoma
WAHADHIRI wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wamegoma kufundisha chuoni hapo kutokana na uongozi kushindwa kuwapa nyongeza ya mishahara yao iliyotolewa na...
Jamani management ya chuo cha uhasibu,vp kama hamtaki kutufanyia hiyo graduation basi tupeni hizo transcripts ze2 tunashindwa kupata kazi waajiri wengi hasa serikalini hawataki provisional result...
Ndugu watanzania katika hali isiyokua ikitegemewa,jwtz ambao ndio wamiliki wa shule hii sasa wanaua elimu kwa kasi kama ifuatavyo; 1.Huu mwezi wa pili walimu hawajalipwa mishahara yao ya octoba na...
How do managers decide whether the cost is direct or indirect cost.....
NAOMBENI MSAADA,NASOMA MANAGERIAL ACCOUNTING SEMESTER HII AFU NIMEKUTANA NA HYO...MSAADA WA POINTS TAFADHALI
Leo,viongozi na wanachadema wafanya kikao cha kujadili maendeleo ya chama na jinsi ya kupambana na ufisadi mkuu katika taifa letu.Lakini pia katika kikao kilichofanywa na wanachama hao,WAUNGA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.