Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba kufahamu mahal yalipo majina ya reserve in certifcate in laboratory, msaada jaman, pia unaweza nitazamia Benezeth James Onyango.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nachelea kusema kuwa heslb wangexema kabisa idadi ya watu watakaopewa mkopo kwa wale wanao-appeal pia criteria za kupata mkopo sio tena kutumia mda mwingi na 5,000 alaf inakuwa matatizo hivi ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Salam wakuu, Nakumbuka back in days shuleni, kulikua na formula zilizotengenezwa kama nyimbo hivi ili kufanya wepesi kwa wanafunzi kukariri. Kwa mfano, kwenye periodic table kulikua na: Halo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
A brief history on the invention of the telephone... here is the link: HOW THE TELEPHONE WAS INVENTED - HOW SCIENCE
0 Reactions
0 Replies
750 Views
hello wana jf ...msaada kwa ndugu dada yetu ana dvn 4 ya point 29 swal ni kwamba anaweza akapata chuo cha ualim ???? na if yes naomba mntajie vyuo ambavyo vtampokea., shukurani...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Wana JF, nataka niwe mbunifu wa mavazi, kazi yangu ya kwanza nataka nibuni suruali ya kiume, iwe imetuna hapa mbele, mwanaume akiivaa anakuwa kama ana busha. Wajuzi wa mambo ya masoko saidieni...
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Taarifa niliyoipata toka kwenye chanzo cha kuaminika katika chuo cha MUCCoBS ni kwamba wanafunzi wote waliobadili programme/course ,walizopangiwa na TCU wote watakosa mkopo ! mfano kama...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Habari wakuu? Leo nimemaliza kufanya mitihani ya CPA. Lakini wakuu napenda kuongelea suala la mitihani ya NBAA. Hivi hawa jamaa wakoje? Maana mitihani yao hasa somo la Management Accounting jamani...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Habari zenu wadau.Wadau kila mwaka vyuo vinachukua wahandisi wangapi? inamaana wahandisi wao mkopo ni given? idadi ya wahandisi waliokosa mkopo naona ni ndogo sana, vyuo vingi wanatoa wahandisi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Moja ya mapungufu makubwa wanayoyafanya wasomi na wanasiasa wengi wanaotokea maeneo ya usukumani ni kwa kutotoa elimu stahiki kwa jamii zetu zilizo na utajiri wa kutisha kuthamini elimu.Hii ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwa wale ambao form zao zilikuwa na dosari wamepewa mikopo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna ndugu yangu namsaidia kufanya appeal ya bodi ya mikopo lakini kila tuki log in inaleta personal information only zile sehemu za kujaza info nyingine haziji ko anayefahamu jinsi ya kusolve...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ikiwa ni siku mbili tangu kidato cha nne kuanza mitihani yao ya Taifa, wilayani Rorya malipo ya wasimamizi wa mitihani hiyo bado ni kitendawili.Akifunga semina elekezi ya wasimamizi wa mitihani...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
inatia huzun km kukiuwa kitt ambacho hakina hatia,hlf hili blok L linamatatizo cjui !! najua watamkamata 2 coz blok zima walikuwa chin ya ulinz na wt wamepimwa jn na chakuhuzunisha n blok ambalo...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Nimempigia mtu simu voda to tigo, nikapata ujumbe huu "namba unayopiga haipokelewi, the number you have dialled does not answer". Sasa wataalamu wa lugha hiyo does not answer ni sawa? Maana...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Jumla ya wanafunzi 114 kutoka kozi moja tu ya mass communcations hawatograduate kutokana na suplimentary,kushndwa kumaliza/defend research,na kufeli kwny comprehensive. Idadi kwa kozi nyingne...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Positioning STRATEGIES for GRADUATE job seekers: *CAREER SUPPORT SERVICES* *CAREER SUPPORT SERVICES* Dear Super Applicants, How do you go about getting your dream job? In the last ten years in...
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Jamani nashangazwa na jinsi wanavyopangilia majaraja ya darsa la 7 2013,mfano mwanafunzi anapata A moja au mbili na zingine B anawekewa daraja A,hii ni kichekesho.Sijui wametumia kigezo ana...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom