Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

ndugu zangu wanaharakati wenzangu wa kutoka vyuo mbalimbali hapa Tanzania....semister iliyoisha SUA ilifanya uchaguzi na hakika ilipata rais bora aliekubarika sana,lakini kiongozi yule baada ya...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Wadau nataka kusoma masters ya production engineering pale udsm ...je nntapata nafasi sasa au nimechelewa ...kama wameshaanza itawezekana kweli...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Naombeni msaada jamani,other major tools of communication ni zipi apart from language?
0 Reactions
2 Replies
814 Views
Habari za leo wanajamii, Nimeombwa kutafuta marekebisho ya sheria ya kazi "Employment and Labour Relations Act, 2004". Kuitambua document husika inanipa taabu. Kwenye website ya Bunge...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Tatizo la maji chuo kikuu cha Dodoma linatesa sana wasomi ambao wapo eneo hili. Nawaonea huruma sana mabinti na wanawake ambao wapo hapa kwani inafika wakati inawalazimu kutoka nje ya chuo na...
0 Reactions
61 Replies
9K Views
Professor maarufu wa muda mrefu SUA kutoka idara ya veterinary public health Prof Mkumbukwa M.A.Mtambo ameteuliwa kuwa Deputy Vice chancelor Academic, Research and Innovative katika Taasisi ya...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
We are in the process of establishing an NGO which will deal with children welfare countrywide, everything is set up are we are waiting for registration. Some of our patners are not serious and...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
wakuu wanawake kweli ni hatari! leo asubuhi wafanya usafi wamekiokota kichanga ndani ya dustbin. tukio limetokea block L.... kweli msomi huyu ataweza kutufikisha sisi vijijn tukawa na elimu...
0 Reactions
75 Replies
9K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, OCD wilaya ya Kondoa amempiga mateke, ngumi, vibao na kumchania shati mkuu wa shule wa shule ya sekori Kikore wilayani hapo. Tukio hilo lilitokea jana 03/11/2013...
0 Reactions
133 Replies
21K Views
Ndugu wadau mimi binafsi pia nilikua na wazo la kuanza kusoma hiyooo inayoitwa "New Syllabus", Ila according to NBAA website kuanzia november next year exception kwa mtu aliyemaliza degree...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Wakuu naomba kufahamishwa vitabu vya Shigongo vinapatikana wapi kwa hapa Dar es Salaam?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nmepata habari kua continuous wa udsm wameshapelekewa form ya kusaini majina ya mkopo.vp vyuo vngne hayo majina na sisi tutapataje?tuambien wenzenu?
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Nmepata habari kua continuous wa udsm wameshapelekewa form ya kusaini majina ya mkopo.vp vyuo vngne hayo majina na sisi tutapataje?tuambien wenzenu?
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Kwa yeyote anaye jua sehemu wanayo toa koz ya kingereza hapa iringa anitaarifu.Nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kabla Tanzania hatujaamua kuwa na 50-50% ya kila jambo kati ya wanaume na wanawake hetu tutizame nyuma kwanza tuone kile kiwango tulichokwisha kiteleleza kina hali gani? Tujadiliane ili tuone...
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Dear wana jamii Forum, mtoto wangu atakuwa miaka 5 na nusu Jan, nilitamani awe darasa la kwanza Jan lakini kuna vitu bado hajavifahamu kama handwriting sio nzuri japo anaandika na kusoma bado...
0 Reactions
2 Replies
946 Views
Kwa wale wataalamu wa mambo ya Fnance, kama kuna mtu anajua namna CDS invyooperate na umhimu wake kwa nchi za Africa.
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Aisee wadau Tcu round ya nne selection wanatoa lini..?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
COMPARE AND CONTRAST EDUCATION SYSTEM IN TANZANIA AND KENYA. IN CURRICULUM EDUCATION STRUCTURE PHILOSOPHIES POLICIES AND :A S tongue: EDUCATION AIM
0 Reactions
3 Replies
772 Views
Back
Top Bottom