Habari,
Nimekuwa nikiona post, comment hapa Jf na wakati mwingine Sms nikitumiwa
na watu mbalimbali nimegundua kuwa watu hawajui kutofautisha maana ya neno
Mungu au MUNGU au Bwana au BWANA na...
Jamani muda wa lunch unakaribia sana kwa watu wa maofisini maana tunapewa saa moja kuanzia saa saba mpaka saa nane kwa ofisi zilizo nyingi, sasa kuna kitu huwa kinanitatiza mimi kama mfanyakazi...
Mfumo na mkakati wa kuongeza idadi ya wanafunzi ili kujaza madarasa katika shule za sekondari; mfumo ambao unashadidiwa na kile kinachoitwa "BRN" imeanza mapema kuonekana. Matokeo ya darasa la...
Ndugu wazazi wenye watoto makongo sec.school hali ya shule ni mbaya maana mpaka sasa shule imefilisika na walimu hawajalipwa mshahara hivyo wamegoma na kufanya watoto hasa A'LEVEL&FORM I na...
Kwa ghafla sana na pasipo maandalizi wizara ya afya imebadilisha kiasi cha ada ambapo kwa ngazi ya cheti tu ada kwa mwenye bima ya afya ni 880,000 kwa asiye na bima ni 930,000 watoto wa wakulima...
Katika mitihani inayoeendelea ya kidato cha nne walimu wa kutoka wilaya ya muleba wanaendelea kusimamia mtihani huo kwa manung'uniko ya hali ya juu kwani mpaka sasa hawajalipwa stahiki zao za...
habari wana jf kuna hizi karatasi zinaitwa rag paper, kwa kiswahili sijui zinaitwaje, anayejua stationer kubwa ambayo naweza nikazipata aniambie....shukrani
Barua toka wizarani inasema ifikapo tarehe hyo uliyechaguliwa hujalipoti nafasi itachukuliwa na walio kwenye orodha ya reserve. Changamka ni jumamosi tu wiki hii.
Hi wakuu, kuna swali hapa nimepewa na dogo wa form two. 2-1+1=? Nimetumia formula ya magazijuto jibu nikapata 0 lakini dogo anakomaa ni 2, je nani yupo sahihi?
Habari wapendwa na poleni na majukumu ya kila siku. Naombeni kuuliza kwa ambao tayari wamesoma CPA na wamepata tayari na wanaujua muziki wake. Swali langu ni: Je naweza nikasoma cpa module E na F...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.