Habarini za wakati huu
jamani Nina brother kamaliza secondary Moshi technical school mwaka 1996 na alipata dvsn three form IV akakosa mtu wa kumuendeleza kidato cha tano so akakata tamaa kabisa...
Msaada kwa anaejua kuhusu hii course 'bachelor of science in physics'
1: Ina mtrain m2 kuja kuwa nani?
2:field zao huwa wanafanyia wapi?
3:Is it marketable?
Kuna mdogo wng kachaguliwa kwenda...
Habari wana JF, natafuta vitabu vifuatavyo:-
1. Love without fear, Mtunzi anaitwa Eustace Chesser (soft copy au hard copy)
2. The Valentine, sikumbuki mtunzi lakini kitabu kinahusu...
Heshima kwenu wadau wa JF,
Ni wiki ya tano sasa tangu tufungue chuo hapa Mwenge University College of Education Moshi na masomo yanaendelea kama kawaida.
Wadau,nahitaji mtu wa kubebana nae(kushare...
habri zenu ndugu zangu,naomben msaada tafadhali,nataka kwenda kulipa ada ya direct cost,naingia mtandaoni naambiwa warning haufunguki,wenye huo muamala naomba unirushie plz,maana nasikia wameweka...
Wadau poleni na majukumu.
Naomba msaada anayeweza kunisaidia kuweka hapa majina ya nyongeza ya waliochaguliwa kujiunga Grade A awamu ya pili nyongeza ya tarehe 08/10/2013. Nimeingia tovuti ya...
Habari wana JF!
Nimeona si vibaya nikatafuta msaada hapa jamvini kwani nina hakika wapo watu wenye uelewa mpana wa mambo hasa maswala ya taaluma. Nina ndugu yangu anatafuta kozi ya kusoma...
ilishakuja thread hapa JF kuwa IT ya Chuo hiki haiko makini hasa katika kutoa Matokeo ya Wanachuo
Leo nimeamini kabisa kwani, matokea yanatoka mara mbilimbili licha ya kutanguliwa na Supplimentary...
tcu imetangaza ku apply tena thru cas ,hii inawahusu wale waliokosa vyuo 1st,2nd and 3rd round na wale ambao hawakuomba kuwa wanunue vocha kwa 5
0 thousands,waombe tenah,..MWISHO NI TAR. 25...
ndugu wana jamvi,mimi ni mwalimu,idara ya sekondari wilaya kilosa.nina miaka minne kazini,na tayari nahesabu mwaka wa tano.kitu cha ajabu,wote tulioanza kazi mwaka 2009,hakuna mwalimu hata mmoja...
Walimu wa Uingereza wapo kwenye MGOMO leo hii, Maelfu ya shule kufungwa na Madarasa kubakia matupu. Madai yao ni juu ya Mishahara midogo, mafao madogo na kufanya kazi kama punda.
Pamoja na...
Habar wanajf?,kabla sijaanza kazi ya ualimu nilikuwa nikiona waalimu walivyo na maisha magumu na kunyanyasika sana na waajiri wao kuliko kada zote tz mfano madaktar,maakim,jesh n.k.Kumbe matatzo...
· MONSANTO OR ANY SCIENTIST THAT WORK FOR THEM SHOULD NEVER GET ANY WORLD FOOD PRIZE
Monsanto is the Monster of the Unhealthy Food Production. Monsanto can be...
kuna huu ujumbe unapofungua pge ya bodi unaonekana.hii humansha majina waliyo toa heslb ni kwa first year wale flesh tu,s tuendelee kusubiri yetu.
HIGHER EDUCATION STUDENTS' LOANS BOARD...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.