Kiukweli serikali yetu ni mbovu sana ina mana imeshindwa kabisa kujua kua izi sector mbili zinaingiliana kiutendaji wa kazi yani kila sector ina ratiba yake na zinaingiliana. Aya jkt wanataka...
Rafiki yangu karudishwa kutoka jeshini, kisa ana kilema, kilema chenyewe ni kuwa ana pengo, jino moja la mbele halipo, yeye anaseme alijitetea sana kwa kusema siyo pengo ila ni mwanya tu, kiukweli...
Sikia kilio chetu sisi vijana wako wasikivu,japokuwa jeshi amri ni moja..lakini hata AZ WEAH AWAMU YA TATU,ITUMIKE PLZ!..sisi vijana wa 1st year 2013/14...
ndugu wana jf kuna hii kozi mpya ya interior design imeanzishwa ardhi university..
Soko lake la ajira limekaaje kwa hapa Tz.?
Msaada tafadhali kwa mtu mwenye uelewa juu ya hiyo kozi maana kuna...
Kiukweli JKT wametufanya sisi wapuuzi na wajinga, maana wamengojea watu tayari wameshaingia vyuoni na wengine ndo wanajiaanda kwenda halafu wanakuja na habari za JKT halafu hakuna barua...
Jamani its too much..
Mwaka huu Form 6 hatuelewi serikali na tcu kabisaaaa.
Kwanza sielewi inaamanisha nini kwa Jeshi kutaka tuanze kusoma vyuo January wakati TCU wameshatangaza ni kati ya mwezi...
Wakuu ni mda unakwenda tu hakuna replay yeyote kutoka MOH na ukifuatilia tunazidi tu kutiana moyo tu wa tetesi kila siku . Hivi kwenye application form si walisema...
salam kwenu!
naomba mwenye taarifa sahihi/zenye ukweli atuwekee hapa kwani tetes zimekuwa nyingi mno mala mwezi wa 9,umeisha mala wa 12 na wengine wa 2 mwakani, sisi tunaozisubir kiukweli...
wanajamvi kuna tetesi majina ya wanaotakiwa kujiunga jkt awamu ya tatu yametoka. nita yapata wapi? kama kunamtu anaweza naomba ayaweke hapa. pia utaratibu wa kujiunga chuo utakuaje?
Kwa mwaka wa kwanza wote ambao mwaka huu wataitwa 'Tindikali' kama sisi tulivyoitwa 'Tsunami' mwaka 2005,wanaweza kuniuliza jambo lolote kuhusu UDSM ilimradi tu liwe la kumjenga na kumuimarisha...
"majibu tutatoa leo jioni" Hii ndio kauli ya mtu wa reception wa tcu kwa siku nne sasa, kesho najipanga mapema saa kumi na moja jioni kuulizia post za transfer applicant sijui yule mama atanipa...
wakati vitu vinaenda kombo na majina kujiunga jkt yanatangazwa tunajiuliza waziri wa elimu anafanya nini mbona kimya ndio kusema haoni kinacho endelea? mikopo watucheleweshee now jkt? waziri kama...
kiukweli hawa jamaa wa jkt wameniboa balaa coz mi tayar nipo chuo mtwara ndan ya stella maris afu leo wao wanasema eti jkt....sijajua saaana kuwa itakuwaje ila mbele kwa mbele itakavyokuwa wacha...