Dah..! heslb inatuweka mjini wanafunzi wengi... For first year karibun mtest utamu wa boom but likikata ni nouma xanaa ucpime..!..Dah finalists wenzagu 2jipange coz hili ndo boom la mwishooo.......!
Wadau anaejua kuhusu mazingira ya st john tawi la st mark hapa dar re salaam. Vipi ina hostel kwa watu wote? Au kama haina vipi kuna maeneo jirani na pale chuon wanatoa huduma za hostel? Msaada...
heading inajieleza wasomi wengi hapa tz wanaishia kufanya starehe na pesa zetu kupitia mkopo hali kadhalika wakihitimu huishia kuzunguka kwani hawana ujuzi bali vyeti mkononi namaeno mengi ilihali...
jamani wanajamvi kuna mtu yeyote mwenye tarifa sahihi kuhusu heslb maana nakumbuka nshasoma uzi ulioandikwa siku za nyuma ukidai majina yatatoka tarehe 16. sasa kama kuna mtu mwenye taarifa sahihi...
Kuna mjadala mkali sana umekuwa ukiendelea kuhusu elimu ya juu nchini kuwa shahada ya kwanza ya vyuo fulani ni ya maana kuliko shahada ya chuo kingine hili siwezi kupingana nalo kwani linahitaji...
Habari wakuu,
Nipo mbele yenu kwa ajili ya kusaidiwa taarifa kuhusu kozi za ATEC I&II za NBAA.
Nina bwana mdogo anahitaji kufanya hii mitihani kwa hiyo ninachoomba kufahamu/kujuzwa wakuu ni...
Ndg wapandwa nimeona nilite hii mada tuijadili mana mimi binafsi sielewi hatma ya elimu yetu mana yamezuka madudu mengi(1) kujengwa shule za kata zisizo na walimu wala vitabu, (2) gharama kubwa...
Habari zenu wakuu,kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ni juzi nimetoka kuichukua result slip yangu ya form 6 lakini imepotea katika mazingira ya kutatanisha.....je uko chuo itakuaje...
TAIFA LA KUIGA MAMBO BILA KUTAFAKARI.
Tumeanza mitihani ya multiple choice kwa shule za misingi kwa madai ya waziri kuwa wamejifunza kwa nchi za wenzetu,. je alitafanya tadhimini ya watu wa taifa...
Katika DVD hii, Robert Kiyosaki ,mwandishi wa kimataifa wa Rich Dad Poor Dad anazungumza kuhusu jinsi matajiri wanavyotumia biashara ya kujenga utajiri. Baadhi ya pointi za Kujifunza kutoka hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.