Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Katika rasimu ya katiba mpya inayopendekeza muundo wa serikali tatu kwa kuwa na " SHIRIKISHO " la bara na visiwani kwa kumaanisha kwamba Muungano wetu utaendelea kuwepo mimi naona si...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
polen na majukumu wanajamvi, ninaomba mtu yeyote anaefahamu kuhusu credit transfer anisaidie kunipa msaada maana mwenzenu nimechanganyikiwa hapa nilipo nimekuwa discontinue kweny chuo fulan kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nina mdogo wangu wa kike amemaliza form 6 PCB mwaka huu kakini amefeli(hakupata kitu),lakini form four ana pass zote ie div 2..mzee ameamua ajitutumue anataka kumpeleka malaysia,lakini ndoto zake...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa ni kwel admission 4m tayari
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tembelea www.udom.ac.tz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu heshima mbele.Naomba kujuzwa mshahara wa pharmacist serikalini ambao ni recent.Natanguliza shukrani
0 Reactions
6 Replies
18K Views
Nini KINYUME cha neno "MWALI"?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari Zenu Wakuu. Naomba kujuzwa Heslb hua inachukua Maamuzi gani endapo mtu atabadili facult akiwa chuoni? Hasa linapokuja suala lakutoka Priority kozi kwenda Non-Priority Kozi, au kinyume cha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu o'level alipata passes 2 tu na miswaki ya kutosha,nikaamua kumpeleka certificate pale magogoni kisha nikamuunganishia dilpoma kafaulu vizuri ana upper second.Sasa nataka asome...
0 Reactions
2 Replies
950 Views
wadau mimi ndo naingia 2 year, nahitaji mtu wa kunibeba au kama ---- mdau anafaham jinsi gani ntapata room hata ya kununua mimi nko tayari kwa hilo. kwa yoyote mwenye mssaada ani PM. Natanguliza...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
I salute you comrades, brother and Sisters Just a request, i am joining medical school this coming October in one of the Universities, may you help me what strategies to master Clinical...
0 Reactions
3 Replies
806 Views
habari zenu wanajamii wenzangu,jamani nilifanya mtihani mara mbili olevel(moja nilireseat) sasa wakati najaza TCU ile username niliweka exam number kile cheti nilichoreseat P0309 na baadae nikaadd...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa anaetaka kujua jina lake usisite kumtafuta [updated-boy]>0768260834
0 Reactions
1 Replies
1K Views
tcu wameshatoa 3rd round selection. Angalia kupitia vyuo husika. Mfano:Jordan (Juco) wameyaupdate tar 12 Sept
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Engineer wa Tanzania ni hasara sana, yani baada ya kumaliza masomo yao na kufanikiwa kupata kazi, wao hubweteka huko makazini na hakuna maendeleo yoyote ki ujuzi wanayo jiendeleza, kinachobaki...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau wenyewe uelewa hivi kuajiriwa serikalini na sekta binafsi wapi kuna maslahi zaidi..na ukishastaafu kama unafanya sekta binafsi kuna kiinua mgongo au hupati kitu..
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nin hatima ya ILBORU wadau katka jamv hil 2najua kuwa ilboru ni moja kat ya shule bora za serikal iliyokuwa ikifanya vzuri na kuongoza kitaifa na kutoa wanafunz waliokuwa wakiongoza kipind cha...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
neno kama vile ceteris paribus,mimi binafsi ni ngumu sana kulisahau
0 Reactions
137 Replies
9K Views
Haya ni baadhi ya matukio ambayo wanafunzi huwa wanayafurahia vyuoni: 1. Ile assignment haitakusanywa leo. 2. Lecturer kasafiri, kipindi hakuna had atakapo rudi. 3. Hiyo kazi mfanye kwa group...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom