Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

HABARI ZENU WANAJAMVI......... Bila shaka wengi wetu hasa wenye watoto mda huu ni wa kuumiza vichwa ni wapi tupeleke watoto wetu kwa ajili ya kuanza Kidato cha kwanza mwaka 2014. Nasikitika kwamba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
The name of this month is derived from septem, which is Latin for seven. It has long been regarded as a number of perfection, luck, and wonder. (Think: seven days of creation.) If September means...
0 Reactions
1 Replies
630 Views
Wapendwa naomba msaada wa kitaalamu zaidi juu ya nini nifanye ili nipate scholarship kwa ngazi ya Masters.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni muda sasa tokea Chuo hiki kianze ambacho kimekuwa kikimwagiwa sifa kipindi kikianza. Nilianza kusikia sifa hizo nyingi na kupata hamu ya kusoma katika chuo hiki lakini haikuwa bahati yangu na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa mjibu wa ratiba ya wizara nchi nzima matokeo yatatangazwa Tarehe 23 september katika vyuo husika. Wahusika ni WANAfunzi wateule wote.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ipo jijini mwanza eneo la muhandu,mbele ya machinjioni.kuna mwl wa kiume toka kenya anachapa watoto kama ana ua nyoka
0 Reactions
2 Replies
935 Views
ndugu wanajamvi naulizia kama mtu anayechukua post graduate diploma ya education anaweza pata mkopo toka loan board.na je kama hawezi pata huko ni taasisi gani nyingine au mtu binafsi anayeweza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa,nani ana taarifa yoyote sahii kutoka bodi.Kimya mno bajameni.
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Habari zenu all JF members! Hayawi hayawi sasa yamekuwa habari za kuaminika kutoka hapa CEDA Arusha ni kuwa waliomba wote walioapply tar 25 mwezi huu.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa anaejua,majina ya walioomba kuhama vyuo yanatoka lini ikiwa deadline ni 16th sep..,2013
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Unaifahamu hyo shule? Ipo mkoa wa kigoma,wilaya mpya ya buhigwe kijiji kimoja cha bukuba. Kama unataka kusomea kigoma karibu njoo uombe utapewa. Ni shule ya serikali. Kitaaluma siyo mbaya maana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salam wakuu, Kwa muda wa miaka mingi enzi za zamani, ukitaja katika shule ambazo zilikua zinafanya vizuri kitaaluma na kimichezo, makongo nayo ilikuepo kwenye list. Nakumbuka enzi za headmaster...
3 Reactions
102 Replies
16K Views
Jamani, naombeni msaada wenu, nahitaji link ili niweze kujua waliochaguliwa Vyuo vikuu huu mwaka. Msaada
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Katika swala lisilo la kawaida, viongozi mafisadi wameamua kukaa chini na kuongeza fedha ya medical capitation kwa mwaka wapili, je swala hilo mnalionaje hakuna mabaraza ya wanafunzi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
jamani kwa waboy wote mnaosoma hii thread TUPIA TUPIA TUKIO USILOLISAHAU WAKATI UKIWA BOYS
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wakuu, nna mdogowangu kachaguliwa "bs in insurance and risk management". Hapo IFM.. Hivi hii koz ikoje kiujumla kwa yule anayeifaham..... #thanks #
0 Reactions
17 Replies
3K Views
..jaman ndugu zangu..me nlkuwa nahtaj msaada juu ya hl..me nmechagulia st marks dar ambayo n taw la st john..bt selection zmetoka lakin me cjaona jina langu kwny hayo majina yote yalitoka..na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
jaman pc inauzwa n aina ya dell na ina ram 1gb pia ina hard disc ya 250gb pia bado n mpya bei maelewano u can call me 0716 946770
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nit
majina ya second batch hiki chuo yatatoka lin?
0 Reactions
3 Replies
880 Views
TANESCO walipoona wanaibiwa kwenye mita za umeme wakaja na LUKU (Lipia Umeme Kadili Unavyotumia) ndivyo na walimu walipolazimishwa (BRN) BIG RESULT NOW nao wamekuja na FUKU (Fundisha Kadili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom