Hatimaye tumekamilisha kuweka majina ya waliochaguliwa kujiunga na masomo ya elimu ya juu katika Chuo Kikuu Ardhi na sasa waweza download hapa.
WALIOCHAGULIWA ARDHI UNIVERSITY 2013/14 TEMBELEA...
Chuo kikuu cha dar es salaam,chatoa ruhusa kwa anaetaka kuhama course aliyochaguliwa kutokana na kutokuipenda au kuridhka nayo,wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza wataruhusiwa kuhama kozi zao vigezo...
UDOM imetoa List of first year applicants-2013/2014
unaweza ingia link hii List of first year applicants 2013/2014-First batch - List of first year applicants-2013/2014 au download attachment
Shule ya bweni ya VITIRA sekondari ipo Malinyi/ULANGA MOROGORO inawatangazia nafasi za kujiunga kidato cha kwanza,pili,tatu na nne kwa mwaka 2014,shule ina walimu mujarabu,mazingira makini,chakula...
The number 40 shows up often in the Bible. Because 40 appears so often in contexts dealing with judgment or testing, many scholars understand it to be the number of probation or trial. This...
wakuu naombeni msaada,kama kichwa cha habari kinavyojieleza..kuna jamaa angu kakosa chuo je anaeza kuapply tena?nimeingia kwny site ya tcu nimeona slot ya registration ipo on...je afanye nin huyu...
1;Aliesoma mpaka elimu ya juu na kufeli vibaya katika masomo yake... au 2; alieishia elimu ya chini na kujifanya kasoma mpaka elimu ya juu kumbe sio kafoji vyeti, ama 3;alieruka vidato na kufanya...
Wakuu habari za majukumu.
Nahitaji kusoma sheria za kazi na ajira
je chuo gani kwa hapa nyumbani nitapata programme hiyo?
na sifa zinazohitajika ni zipi?
nahitaji post graduate diploma.
kwa...
Kuna dada yangu alienda kwenye of
office za Nacte aliambiwa kwa yeyote ambaye aliapply kwenye hii3rd round selection,mnatakiwa kupitia kwenye account zenu yani CAS | DIPLOMA kwani wameshaanza...
Chuo kikuu kishiriki cha masomo ya ushirika na biashara Moshi (MUCCoBS) ambacho ni tawi la SUA kimeendelea kuthibitisha kuwa ndio chuo bora zaid katika masomo ya biashara. Katika matokeo ya...
Nina majonzi makubwa sana kwa kupata taarifa za msiba wa baba yangu wa kazi, mzee wangu aliyenipokea kazini ktk halmashauri ya korogwe, mzee wangu alinipa misingi ya uwajibikaji kazini. Mzee wangu...
Naomba mnijuze wale wanaosoma bsc in agricultural economics and agribness ajira yake ni wapi hasa.
Na ni vitu gan nije navyo wakati wa kulipoti ukiacha ada na michango
je kuna haja ya kuja na...
***KUSOMA NI BURE***
Kuna MAJAMBAZI
walivamia BENKI KUU sasa
Jambazi akawaambia watu
waliokua mule ndani
"Wote laleni chini
atakaeinuka namsambaza
ubongo, Pesa ni za serikali
ila roho za...
Kuna matukio mengi ya ukiukaji wa amri ya nne kati ya amri kumi za mungu. Watu wamekoseshwa nafasi za masomo kwa kutoikana imani ya kisabato. Watu amefurahia ikiwa ni pamoja na kuwatukana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.