Kuna dada yangu alienda kwenye of
office za Nacte aliambiwa kwa yeyote ambaye aliapply kwenye hii3rd round selection,mnatakiwa kupitia kwenye account zenu yani CAS | DIPLOMA kwani wameshaanza...
Kuna dada yangu alienda kwenye of
office za Nacte aliambiwa kwa yeyote ambaye aliapply kwenye hii3rd round selection,mnatakiwa kupitia kwenye account zenu yani CAS | DIPLOMA kwani wameshaanza...
wakuu nimeona nishee na nyinyi taarifa hii kwa ufupi ni kwamba heslb wametuma taarifa vyuoni juu ya kuchelewa kwa boom na kuomba vyuo visogeze mbele tarehe za kufungua na specufic time ni kuanzia...
Habarini wakuu:
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza....
Chuo kikuu cha UDSM kimeanzisha faculty mpya zinazohusiana na petroleum sciences zikiwemo;
Petroleum engineering
Petroleum chemistry...
Heshima kwenu wakuu,
nafikiri chuo tajwa hapo juu kinajulikana na wengi kidogo ila nimeletewa swali ambalo nimeshindwa kujibu,
jamaa wameanzisha program ya uailimu ngazi ya cheti na diploma ila...
Click links below to download documents
Fee Structure
Form A - First year student's registration form
Form B - Medical Examination
Issuance of Admission Letters to first years
Joining...
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimetoa mwezi mmoja kwa serikali kulipa malimbikizo yao ya madeni ya walimu yanayofikia bilioni 33.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es...
1. Overview
Tanzania Commission for Universities (TCU) shall grant transfer to applicants who wish to transfer from one institution to another. The transfer shall be opened from Tuesday 3rd to...
Wadau naomba kuuliza kama udsm watatoa ktk web yao au ndo mpaka chuoni pia naomba mnisaidie kuhusu direct cost kwa wanaofahamu,natanguliza shukrani kwenu wakuu
:target::target::target:Mbeya University of Science and Technology (MUST) provides Technical Education, Research and Consultancy services. Due to rapid technological changes in the world...
Nina maswali machache khs CHUO CHA CBE. . cbe certificate mwisho wa usajili ni lini na ukichelewa ku ji sajili ila umepata nafasi inakuaje? Pia masomo yanaanza lini? Na kati ya pesa ya stationary...
Wanafunzi
Serikali imempa fursa ya kuhitimu elimu ya msingi mwaka huu, mfungwa wa Gereza la Watoto lililopo jijini Dar es Salaam baada ya kumruhusu kufanya mitihani ya taifa ya darasa la saba...
naomba kufahamishwa uwezekano wa kuhamia butimba ttc coz nimeambiwa niulzie kama kuna population kubwa ama la plz nambien kama chuo kmejaa au bado kuna nafasi mimi nipo kasulu
habari zenu wana jf msaada wenu pls kat ya kuunga master ambayo umesomea degree au kubadilisha apa naongelea kikaz zaid nita tii sana mawazo yenu maana na mpango wa kusoma mwakani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.