habari zenu? samahani, naomba msaada kwa yeyote anaeweza kupakua majina ya waliochaguliwa ardhi, wengine tupo vijijini na simu zetu hazina uwezo wa pdf. ASANTE
-GE LM6000PC gas turbine connected to the generator via reduction gear box ( 3600/3600) rpm.
-Recently we are facing a vibration issue in the gearbox.
-The online vibration values shows a varying...
Habari wajamii?
Samahani naomba msaada kwa anayejua chuo cha hapa Tanzania kinachotoa kozi za MOnitoring and Evaluation au Project management hata kwa njia ya net naomba link ya chuo cha uhakika...
leo mount meru university ratiba ya tarehe za kuripoti chuoni kwa students wapya na wanaoendelea! chaajabu na chakushangaza...
hebu ingiaa humu MMU_PLUS_SITE - Page 6
SIJAWAI ONA
nilikua nahitaji msaada kidogo kwenye kujaza admission form ya T I A hasa kipengele cha post secondary education ambako lazma nijaze na mm ni fresh from form 6 kipengele hiko hakinihusu lakini...
hii ni thread special kwa ajili ya wanafunzi wa mzumbe kujuana na kujadili mambo tofauti,pia vyuo vingine mnakaribishwa.kwanza kabisa chuo kitafunguliwa tarehe 14.10
Kama umechaguliwa hapo 2013/14 na unatoka musoma,mtwara au mwanza naomba tuwacliane kwa ajili ya kutafuta chumba dalali nimeshampata,nitafute kupitia 0762364740 au 0789443404
Heshima waungwana!
Tafadhari nlikuwa naitaji kufahamu gharama za master degrees course(MBA) inayotolewa na open university of TAnzania, muda wa course na competence ya course yenyewe kama mtu...
Dear BUMU
Kokote ulpo jua I mic u.
Ckujua umhimu wako
mpaka hii leo. Kwel uktaka
jua umuhmu wa makalio
kalia kchwa. Ww ulnipa
kburi mjni, hta km miez
mi3 ulnitembelea mara 1
lakin hakika...
Bara la Afrika ni mahali ambapo matatizo ya kila sekta yanapatikana duniani. Elimu, afya, nishati, n.k zimegubikwa na matatizo lukuki, sio Tanzania, Kenya (EAC) au Ghana, Liberia (ECOWAS)...
Amani iwe kwenu.
Naomba kufahamishwa juu ya vyuo vya Serikali na binafsi vinavyofundisha Diploma ya Nursing vilivyopo katika mikoa ya Morogoro, Dar es Salaam na Pwani. Nimepitia website ya Wizara...
Habari zenu wakubwa? Mimi nimechaguliwa chuo kikuu cha SUA faculty ya BSc. Agricultural Economics and Agribusiness, kama waswahili hupenda kusema ndege mwoga huishi miaka mingi na ndege mjanja...
jaman tangazo la mchanganuo wa gharama za chuo limetoka lakini binafsi sijajua swala la joining instruction tunazipataje?mwenye kujua utaratibu ulivyo naomba kujuzwa tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.