Jana ilikuwa siku ya kuripoti chuoni kwa first years Malimbe Campus-Mwanza.
Ilikuwa kama picha ya kihindi.
Gharama za accomodation hazikuweza kuwekwa wazi katika joining instruction, lakini...
jamani ndugu zangu mimi ni mmoja kati ya wliochaguliwa kujiunga na mount meru university lakini kinachonipa mawazo nikwamba hadi leo sijaiyona tarehe ya usajili wala tarehe yakuanza masomo , hivi...
wadau hawa nacte wana mpango gani.....vyuo nlivochagua vimetoa selection mie cpo...kimebaki kimoja tu ambacho ni N.I.T ambayo nlifanya chaguo namba moja na mbili...nikikosa apo ndo baaaas ntabeba...
nina furaha kubwa kuwa heslb watema majina ya waliokosa mkopo pamoja na sababu zao..nenda loan results utaona.Nashukuru mungu dogo kapata.kila la kheri wana ndugu
Wana JF, Nimesikia kuwa waliomaliza kidato cha nne kuanzia 2008 na kushuka hawapati mkopo na je ukifanya mtihani wa kidato cha sita kama PRIVATE CANDIDATES, mkopo unapata?
habari zenu wadau...nimechaguliwa NIT koz ya logistix n transport mngnt..nipo arusha,nackia kupata hostel chuoni ni ngum xana ukizngatia tumexhaguliwa wengi..so mwny uwezo wa kunisaidia khs...
Naibu waziri wa Elimu bwana Mulugo amesema kuwa serikali ya Tanzania Bara ina mpango wa kuanzisha utaratibu wa kuwa na Mtihani wa Taifa kwa wanafunz wa darasa la 2,
Amesema lengo la kuja na...
Habari zenu Wakuu .. Nataka kuvusha mwaka wa Masomo.. Yaani Nisiende chuo nitakachopangwa mwaka huu na badala yake nifanye application upya Mwakani.. Jee bodi ya Mkopo na TCU Watanielewa?
Tunayo pongezi kubwa kwa vijana wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu Ardhi kwa mwaka wa masomo 2013/14. Chuo kipo jijini Dar es Salaam karibu na UDSM.
1. Majina ya waliochaguliwa yapo...
Nyama choma,gambe kama 2livyo,kwenda club,kuonga watoto wazur,shoping za mliman city,rob 1 uxsahau wale wa kununua utamu
BAADA YA KUFULIA
wali wa mia 8,maji ya ku stream na c kudownload, kimboka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.