Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Msaada kwa yeyote anae kumbuka udom walishusha cutin point program ipi na ipi to 2.5. . . .thanx.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
HIVI WAKUU IFM MWAKA WA KWANZA TUNARIPOTI LINI NA PIA NYIE WENGINE MNAFUNGUA LINI?(MWAKA WA PILI NA WENGNE):A S-key:
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hi,naomba msaada wa kimaandishi,,,kama kuna mtu anafahamu cbe dsm wanaanza lin usaili wa wanafunzi wapya wa degree na pia fomu za kujiunga zinapatikana wapi?na mpango mzima wa hostel uko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salamu zikufikie ewe waziri wa elimu na jopo lako. Kilio changu kwako ni michango ya kila wiki ktk shule ya msingi 'MINAZI MIREFU na AIR WING,sijui kama ndio mishahara tunalipa sisi wazazi au...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu mimi binafsi sihitaji kuishi hostel za chuo wala za watu binafsi bali nahitaji kuishi nje kidogo ya eneo la chuo hivyo kama kuna mtu anaweza kunipa support ya kunitafutia chumba maeneo ya...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Jamani naomba msaada kama inawezekana kubadili cours ukiwa chuoni. Mimi nimechaguliwa Bed psychology udsm. Ila ningependelea kuwa Ba Ed. Nipeni procedure jamani..
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna kipindi tigo walileta 500MB kwa wiki kwa 500 lkn wakaiondoa fasta offer hii ilikuwa kwa wanachuo tu Leo hii natoa guarantee kwa wanafunzi wote kudownload Video tutorials,na Vitabu pamoja na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wale wa Iringa University uwanja wetu huu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Japo sio mahali pake lkn naomba msaada wa kuweza kupata/fungua Page hii ya Jf kwa mtindo wa desktop view kwenye cm yangu Before ilikuwa inafungua lkn suddenly ika change Ni Android google phone
0 Reactions
3 Replies
904 Views
Nimechaguliwa bacherol of education in guidance and councelng pale udom nataka nikabadili koz nichukue education in admstrtn and manegement uwezekano huo upo? Ur help plz
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama unahtaji Mwl wa ENGLISH COURSE na Tuition kwako kwa mfanyakazi wako ndugu na kwa watoto wako nyumbani au kazini kwako inawezekana kabisa kama unaish Dar/karibu na Dar tuwasiliane kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Joining instruction zimetoka kwa first year, kuripot tarehe 12 na 13 October, Orientation 14/10/2013, Good luck guys Tembelea website yao for more details, see you there in October
0 Reactions
6 Replies
3K Views
samahanini jaman,eti hubert kairuki university wanafungua lini chuo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu! Anatafutwa mwalimu wa kufundisha mafunzo ya ziada kwa mwanafunzi wa Darasa la Sita (Mtaala wa Tanzania, taught in English). Kwa aliye tayari, au anayemfahamu mtu ani-PM hapa. Masomo ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni mwalimu nimemtafuta mtu wa kubadilishana naye na tayari kila sehemu tumepitishiwa barua kwa DED na DEO. Je, hatua gan inafuata baada ya hapo?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimepata tetesi kwamba loan board imeachia majina kwa % na kuna baadhi ya vyuo kama mzumbe wameshaachia fomu, je ni kweli wadau......!!!!
0 Reactions
30 Replies
4K Views
ivi tatizo ni wanafunzi,walimu au serikali yetu..mona haya mambo yanasikitisha sana..wakati huo waeshimiwa wanaongeza greds za kufaulu akati..hata iyo moja haipatikani..
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanafunzi wa UDOM wanakosa raha kutokana na kutopata matokeo ya mitihani yao waliofanya mwezi wa Jun, Wanafunzi wanatakiwa kufanya supplementary kuanzia tarehe 15 October lkn bado hawajapata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…