Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Tafadhali kwa anayejua tarehe ya kuripoti chuoni hapo, MIST, anijuze. Kwa sababu nimecheki kwenye NACTE nimeona jina langu nimepangiwa Mbeya Institute of Science and Technology. Kwenye website ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
msaada wenu wakuu nimechaguliwa iyo koz apo juu nataka nichange nichukue bachelor of arts in economics, vp niko sawa nasubir mawazo yenu.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
nina mdogo wangu amechaguliwa kwenda advance moja ya shule za serikali mkoani mbeya,bahati mbaya kapangiwa combination ya hgl wakati yeye alisoma masomo ya sayansi tumefuatilia jinsi ya...
0 Reactions
7 Replies
981 Views
Hatuna budi kumshukuru mw.mungu kwa kutufikisha ndani ya ijumaa nyingine tena,nawatakia ijumaa karim wadau wote wa JF...!!!:amen:
0 Reactions
3 Replies
3K Views
jamani wana jf wenzangu naomba mnijuze zaidi eti mwaka huu tcu wamechukua hata wale wasio na credit pass yaani (C3) za o~level hasa waliosoma nje ya nchi na kupewa udahili wa kozi mbalimbali hapa...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
matokeo ya wizara ya afya kuna uwezekano wa kucheleweshwa kufuatia uteuzi wa katibu mpya ktk wizara hiyo wadau?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
guyz naomba kuuliza hawa udom mbona wamekaa kimya! au mm ndo cjajua sehem ya kupata admision form? msaada jaman.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wizara ya afya vp matokeo ln jaman?!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani join instruction ya SUA inapatikana vipi? msaada kwa anayejua
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niki log in kwenye account yangu cas wananiambia processed ndo nisubirie wakuu au vp
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jaman,wale wa MUST join instruction tayar imetoka,pitia www.mist.ac.tz kuidownload
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habar wakuu,kwa wale mliochaguliawa kuja kwenye chuo hiki nawakaribisha sana.chuo kipo Ilala-buguruni malapa.hakuna hostel kwa wanafunzi wa coz zote isipokuwa wale wanaochukua theology.kwa msaada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni sisi wanamozambique (uwam). Any news kuhusu gharama; tutalipiwa?
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Hello wana st mark's wote tujuane hapa
0 Reactions
4 Replies
947 Views
mimi ni miongoni mwa wanafunzi waliochaguliwa chuo hicho lakini mpaka sasa sijafahamu ni siku gani hasa tunatakiwa kuripoti chuoni maana nikiangalia katika website yao sijaona taarifa rasmi ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kwa anaesoma Tumaini vipi chuo kina hostel au kila mtu anatafuta kitaa nifaamishe kwa anaejua kuna ndugu yangu anakuja kusoma huko
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zanguni,kwa wale ambao mmepitia vyuoni si mbaya mkatugusia sie ambao tunatarajia kuanza chuo mbinu na njia za kuweza kufaulu vizuri,kama mjuavyo elimu ya chuo ni tofauti na ile ya sekondary...
0 Reactions
46 Replies
17K Views
Wakuu naomba mwenye taarifa ya lini chuo hiki kitatoa selectns za undergraduates pamoja na tareh ya kuripot tafadhal anijuze
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…