Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwamujibu wa mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo elimu ya juu,ni kwamba mwaka wa masomo 2013/2014,bodi inategemea kuwakopesha wanafunzi 98025.kati ya hao,wanafunzi 35649 ni mwaka wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu waheshimiwa sana. Wadau hii Mechanical Engineering inahusika na nini hasa? na vp ushindani wake katika soko la ajira, je inalipa! Wana CoET Udsm na wadau wengine na hata Watoa ajira...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
2pia coz gan unaenda kusomea ili 2juane mapemaaaa ! ili 2kifika huko 2sihangaike huwez jua 2naweza 2kawa hata room moja,me nipo ba ed in guidence and counseling ,ww je ? ma2c hayaruhusiwi...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Jamani wadau kwa anayejua hiki chuo wanafungua lini? Na join instruction zao zimetoka?
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari wana jf, labda nitoe tu historia kwa ufupi... mimi ni mmoja wa wahitimu wa chuo kikuu mwaka juzi (2011),na kada niliyoisomea ni ya ualimu. ( kwa sasa ni mwalimu), mnamo mwaka 2008...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Nawapongeza NACTE kwa kutoa seletions, Lakini baadhi ya waliochaguliwa majina yao hayajapelekwa vyuo husika. kuna walioangalia profile zao na kukuta wamechaguliwa kwenda IRINGA UNIVERSITY na RUCO...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukipenda paitee uclas...! Chuo kinafunguliwa tar 7/oct/2013 for first year orientation na tar 14/oct..! Kwa continous! yoyote anajua tarehe nyinine tofauti na hizo hapo juu
0 Reactions
26 Replies
5K Views
jamani tuliochaguwa st.john ya dodoma tupeane taarifa hapa maana wengine hatujui ata reporting date na admission letter (joining) tutapata vipi kwakuwa kwenye web ya chuo hakuna taarifa hizi...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Natanguliza heshima mbele JF! Kero yangu leo Board ya mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB). Ukisoma Mission na Vision zake zimelenga kuwasaidia wananafunzi wa kitanzania wenye uhitaji...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Tembalea website yao
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba msaada wenu,nimechaguliwa IRDP Dodoma(Mipango)lakini sioni jina langu TCU! Hii inakuaje Wana Jf?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wale tunaotegemea boom nimepostiwa jana na kachala mmoja wa mjengoni kwamba wengi wa wanaoendelea na masomo vyuoni watakosa mkopo kutokana na kutofautiana kwa maelezo yao ya awali na ya sasa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna watu, kama Ndalichako wanasema eti wanasiasa wasiingilie kazi za elimu. Watendaji wa elimu wafanye wanavyotaka, wanasiasa wanyamaze tu, hata kama watendaji wamefanya madudu. Kutakuwa na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ingia katika website ya chuo utaiona.
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Mm nimechaguliwa chuo cha institute of transport.. nawaombeni wandugu mlioko hapo.. mtupe information kuhusu Room na maisha ya hapo kwa ujumla..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wengi wenu humu ni wageni na wengi wenu mnaonekana either mpo chuo au ndio mmeingia chuo sasa mimi ni mambo machache nataka kushare na nyinyi ndugu zangu 1. ushindani wa chuo unachosoma...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
naomba msaada wa utofauti kati ya course hzo mbili bachelor of law eg udom,udsm na bachelor of laws eg jordan.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu wale wa SUA kwa Kozi ya BVM tupeane habari jinsi msuli wake ulivyokaakaa. Pia kuhusu mambo ya mikopo yakoje kwa hiyo Kozi? Ndugu zetu mliotutangulia huko tupeni nyepesi nyepesi kuhusu hii...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
jaman naomben mnisaidie japo hata kukadilia gharama za usajili kwa wale 2liochaguliwa ifm@bachelor,pia tarehe ya mwisho ya usajili ni hayo 2 wakuu
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Hili suala lina nizingua sana. Nimesoma post za watu kwenye uzi mmoja "sticky" hapo juu kuhusu mambo ya kubadilishana vituo vya kazi. Nafikiri kinachotushinda wengi hatujasoma standing orders juu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom