Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kwa watu wa stemuco.ni kiasi gan cha pesa kinahitajika mbali ada,nahitaj kujipanga
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajukwaa naombeni msaada kujua ni lini selected candidates 2013/2014 wanatakiwa kureport.. Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili udsm,natafuta first year wa kunibeba. Awe binti kwasababu nami ni binti. Semester ya kwanza nalipia ROOM yote mimi. Ni pm kwa aliye tayari.
0 Reactions
26 Replies
4K Views
habari wadau kuna jina ya friends zangu wamechaguliwa katika university mbili tofauti naomba kujuzwa wanatakiwa wafanyaje??
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Kweli kabisa bora watoe tujue tuko position gani?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimekua nikisoma sana comment zenu kiukweli zimenisaidia sana ktk kunifungua akili yangu. ahsanten na muendelee hivyo hivyo kutuelimisha cc vijana tilioko vijijini.
0 Reactions
3 Replies
890 Views
Kama umeomba chuo na hujui kama umechaguliwa wapi na program gani nipo tayari kukusaidia jibu, nitumie Form 4 index number. your first name and surname mwaka uliomaliza. pia kwa majibu ya haraka...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
samahani nauliza vipi kuhusu chuo ch TIA kwenye elimu yake,,,hostel zipo na mazingira yake kwa ujumla,,, pia ningependa kufahamu na wengine waliopangwa hapa
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Bwana Theophili Theonest nimesoma nae chuo kimoja ila madarasa tofuti, tumelala Hostel moja ila vyumba tofauti, Yeye alianza kusoma diploma ya Sheria Pale Mzumbe-Mbeya naona ndo amejiunga kwa sasa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jaman wakuu na wadau wa jukwaa letu teule. Naombeni kusaidiwa kwa Yeyote aliye na 'Joining Instruction' za Mwenge University (MWUCE) tusaidiane hapa mambo kadhaa.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitwa wilson gamba niko musoma nimechaguliwa apo stella 2013/14-BEAD,naomba aliyetayari tuungane tutafute chumba,kwa mawasiliano nitafute 0762364740,0789443404.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa yeyote anayekijua chuo vizur.kitaaluma,hostel na maisha kwa ujumla chuoni,msaada please
0 Reactions
0 Replies
1K Views
niaje bros n csters let us discuss some issues concerning TEKU wish kila mmja atupie coarse yake bhana BED MATHS hapa
0 Reactions
4 Replies
865 Views
Jamani walochaguliwa muhas na wanaojua kuhusu lini kureport naomba mtujuze
0 Reactions
7 Replies
1K Views
baada ya kimya cha mda mrefu cha tcu hatimae wametoa majina ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa vyuo vyote.Kwa wale wa BAED UDOM karibuni sana. kuhusu BAED Wanafunz wa BAED...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi wanajf, msaada kwa hili jamani, hivi inawezekana kwa mtumishi km mwl hiv mwanamme wa ndoa kuhama kumfuata mkewe wa ndoa tanzania hii?
0 Reactions
3 Replies
935 Views
Habari wana jf je naweza kuomba kubadilisha chuo nataka kufanya hvyo na vp proces zake
0 Reactions
16 Replies
3K Views
mwenye kujua chochote kuhusu saut ya songea hasa kuhusu cku ya kufungua chuo kwa first year naomba anijuze
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Any student who is needy (that is a person who has no financial assistance from any other sources to cover his/her education costs). He/she must be a Tanzanian by nationality and should have...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom