Jaman humu ndani Jukwaa letu lina watu wa kila rika, kabila, na jinsia tofauti. Tena ni jukwaa la kisomi ambalo linaonekana kuwa na uelewa na sifa ya ustaarabu, shukrani kwa waliotuanzishia kona...
Jaman humu ndani Jukwaa letu lina watu wa kila rika, kabila, na jinsia tofauti. Tena ni jukwaa la kisomi ambalo linaonekana kuwa na uelewa na sifa ya ustaarabu, shukrani kwa waliotuanzishia kona...
Jamani mwenye ujuzi naomba anijibu maswali haya mapemaa! Hivi KUDISCO inakuwaje kuwaje? Na mitihani ni baada ya muda gani? Na pia UKIDISCO inakuwaje? NA GPA ndio nini?
Jina langu nimeliona kwenye list ya waliochaguliwa TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Arusha Na TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Mbeya Centre.Lakini Pindi niangaliapo jina langu kwenye list ya waliochaguliwa...
Chuo cha Utumishi wa Umma (Tanzania Public Service College TPSC {Tanzania Public Service College - TPSC}), Magogoni, Dar-es-Salaam ni wakala wa serikali aliyeanzishwa mahususi kwa ajili ya kutoa...
daaaaa tunaosoma udsm tunapata malazi mwaka wa kwanza tuu yani mda wakurudi kuanza muula wa pili au wa tatu ni bahati na sibu asilimia 90 amna malazi ukikosa wakukubeba kazi ipo....unatakiwa...
Ndg wana jamii kuna tetesi zinazagaa kwa kasi kuwa inawezekana ukakata rufaa ili ubadilishiwe chuo? Jamani mwenye ukweli kuhusu hili tunaomba aje na ukweli!
Dah naikumbuka sana shule yangu iliyonitoa ujinga. Namkumbuka headmistrec mama Mgonja amefanya kazi pale miaka25. Dah nikikumbuka enzi ya kudabo makande kwa aunt Monica!! Raha sana. Mlinz wetu...
Wakuu nawasalimu wote na natumaini week end inamalizika vyema.
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la "utitiri" wa vyuo binafsi vinavyotoa elimu katika fani mbalimbali ikiwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.