Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba mnitazamie jina langu kwani niliomba SAUT. Jina: AIDAN ELIEZA, BaEd. Nawasilisha kwa unyenyekevu wote.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani nimechaguliwa mwuce, mazingira ya huko yakoje kwa wale wanaofahamu wanipe dondoo kuhusu maisha ya huko.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wale mliokuwa mnasubiria majina yenu SAUT kazi kwenu, tembelea pia Saint Augustine University of Tanzania kwa maelekezo zaidi.
1 Reactions
76 Replies
9K Views
Jaman kuna list kubwa sana TCU,imetolewa kwa wanafunzi waliomba kupitia tcu,waliochaguliwa zaidi ya chuo kimoja,,kama jina lako limo,inabidi uandikie barua tcu ya kuwajulisha chuo unachotaka...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
  • Closed
jkt ndo hivyo imetangaza awamu nne kama ulivyoona jana TBC na LUKUVI ambapo itachukua had february na baadhi ya vyuo vimetoa orientation week inaanza octoba kama UDOM na kuna baadhi ya majina...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Nimechaguliwa pspa udsm, wale wa 2nd na 3rd year mtupe mwanga sisi tunaoanza juu ya ii program.
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Wakuu naombeni mnichekie ETROPIA B MBOYA exam no ni S1288/0011/2010 msaada wenu wakubwa
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama unajiandaa kufanya mtihani wa kidato cha Nne au QT kwa mafanikio, nitafute haraka kupitia 0783373662. Fanya hivyo basi haraka siku zimekaribia kwisha.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Majina yamesha toka tembelea www.bugando.ac.tz
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Source waziri wa ulinzi bungeni leo asubuhi nanukuu awamu ya pili watamaliza mafunzo yao september(tarehe haikutajwa) awamu ya tatu wataenda octomber(tarehe haikutajwa) na awamu ya nne itakuwa...
0 Reactions
103 Replies
9K Views
Kuna baadhi ya wakuu wa shule huko ndo kina Afisa elimu,Waziri wa Elimu n.k. Hivyo huwanyanyasa walimu kiasi kwamba wanaishi kwa shida. Je unadhani "big results now" itawezekana na ile hali...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwanini udom hawataki kutoa selection zao mapema ili watu tujiandae?au ndo hawajafanya final approval?
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Napenda kuchukua fursa hii mimi kama mimi kuwapongeza wale wote walioweza kuchaguliwa kujiunga na Vyuo vikuu na Taasisi mbalimbali za elimu ya juu. Na pia natoa pongezi, kwa wale wote...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Wana jf nadhan mnamfahamu vizuri sana huyo niliyemtaja hapo juu soon tu atakuja kunyamazisha mbwembwe zenu hizo za kusema chuo cha kata,tarafa,wilaya, mkoa, jimbo n.k atakapowachinjia baharini...
0 Reactions
141 Replies
10K Views
Hakuna jkt awamu ya tatu tumesomewa waraka wa kuhusu mkataba tuliopewa huku jkt na mwisho ni tar 27/9/2013 na wale wa diploma wameshaondoka
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kwa anaye itaji kitabu cha marketing,ni kizuri kwa mwanafunzi wa under graduate na master.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi JF, kumekuwa na uzushi mwingi kuhusu admissions za wanafunz wa mwaka wa kwanza vyuoni, wengine wanasema mwez wa kumi wengine mwezi wa pili wengine January.. sasa which is witch??? Serikali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa eti kuna 4th round kwa waco chaguliwa?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Closed
Habari wana jamvi! Poleni kwa mahangaiko ya kusubiri Post za TCU kwa mwezi mzima sasa bila mafanikio ila kwa sasa umefika climax ya usubirifu huo kwani ni siku tano takatifu kuanzia leo ndo...
0 Reactions
113 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…