Wanajamvi nisaidiani nina ndugu zangu waliomba vyuo lakin tunashindwa kuona hizo selection tcu wala kwny web za vyuo walivyoomba. MSAADA KWA HILI WAJAMENI
Its Normal kukuta choice ya my admission imetolewa, hata mwaka wetu walifanya hivyo ila sisi walituwekea kwenye website mida ya usiku afu wakayatoa wakarudisha kesho yake mida ya saa sita...
Hbari zenu wana jamvi wenzangu kwanza naomba nianze kwa kuwapongeza kuchaguliwa kufika elimu ya juu hakika huu ndio mlango unaotazamwa na kila mtu kama mlango wa neema hongereni kwenu
Sasa kwa...
ELIMU YA SHULE ZA KATA NA MATOKEO YAKE Kati ya mambo ambayo watanzania wanayaenzi katika kipindi cha utawala wa waziri Mkuu mstaafu aliyeachia kiti kwa kujiuzuru baada ya kutokea dosari ya...
Kuna mdogo wangu anataka kufanya kazi ya kuuza duka la dawa (famasia) sasa ameambiwa hadi asome nursing attendant then akachukue short kozi ya TFDA sasa tatizo cheti chake cha kidato cha Nne...
Habari? Nimechaguliwa Bachelor of Arts with Education, ninaomba aliyetayari kwa ajili ya kushirikiana kutafuta sehemu ya kupanga anijulishe tuanze mchakato mapema.
Awe mtu mwenye hofu na Mungu na...
baadh ya wanafunzi waliweza kuangalia post za vyuo kupitia lain za cm ya mkonon AIRTEL kwa muda wa masaa kadhaa tar 17 augost 2013 kwa kubofya *150*44# na kufuata maelekezo wakat tcu wao bd...
daa!!kiukweli sijawah kufika mtwara kwa wale wanaoyajua maisha ya mtwara watujuze basi maisha ya uko yakoje...bei ya vyumba vya kupanga,chakula na hata mirupo kwa wale watumiaji...!!
Habarini wanajamvi...kaka & dada zetu mliotutangulia kunako elimu ya juu sisi wadogo zenu tunaoingia vyuoni kwa mara ya kwanza tungependa kujua uhalisia wa maisha ya chuo...we know there are lots...
Habari,
wana jf
nilikuwa naomba msaada wa mawazo kuhusu kozi hizi hapa
nataka ku APPLY kwa mujibu wa soko la AJIRA je nijaze kozi ipi ambayo itaendana na hali halisi
1.Diploma in Mineral...
Aisee hawa jamaa wamekua mstar wa mbele kutupa info na ahadi tamtam juu ya selection na mmoja wao ameahidi kuangusha mizigo ya vyuo maarufu humu jamvin...lakin cha kushangaza wamekua kinyaaaa....!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.