Kuna mdogo wangu kapokea sms leo jioni toka Archbishop Mihayo university college(AMUCTA) ikimtaka aende kuripoti tarehe 16-9.
My take,
wataripoti bila kuwa na uhakika na boom.
wote waliochaguliwa vyuo vikuu na waliomaliza na wako makazini!je unasoma kozi ya ndoto yako au unafanya kazi ya ndoto yako
mi binafsi nimebahatika kuchaguliwa kozi ya ndoto yangu MD
Mbunge wa Kuteuliwa (NCCR-Mageuzi), James Mbatia.
Wakati Wizara ya Elimu ikikwepa juu ya kuboronga kwa mitihani ya majaribio ulioibuliwa na mbunge wa Kuteuliwa (NCCR-Mageuzi), James Mbatia...
Jamani vipi mbona sioni mkizungumzia hiki chuo?
- Ubora wa Elimu itolewayo?
- Kozi zinazotolewa ni zipi?
- Wakufunzi wake wakoje?
- Mazingira ya kusomea kwa mwanafunzi vipi?
Hivi katika akili ya kawaida,airtell wanaweza kuchukua information tcu bila kulusiwa na tcu?ni jambo gumu sanaaaaaaaaaaa.lakin Tanzania maswala kama haya yamezoeleka sana,aya bwana,ukiwa kwenye...
Nashawishika kuamini kuna watu ni mahackers wa kiwango cha hali ya juu.Mbwiga88 kadhihirisha hilo.Tanzania nzima sasa hivi wanajua habari ya TCU,Tanzania nzima sasa hivi wanajua huduma hii...
Kuna mdogo wangu kapangwa bachelor of science in medical laboratory technology!
Sasa ningependa kujua soko lake kiajira likoje?
Na pia hii kozi ina connection yeyote na mambo ya udaktari?
Nimefanikiwa kulogin tatizo linakuwa kama ifuatavyo, na naomba msaada hapa.
1. hatua ya kwanza .....login
2. hatua ya pili.......select ni pale kwenye ku-select namba mbili yenye 'My...
Habari, kama wewe ulifanya second application kwa wale ambao walikosea application zao. Ukitaka kujua course uliyochaguliwa na chuo ingia kwenye profile yako, bofya kwenye view my selection...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.